Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Vita sio ya kuofurahia kwani huo sio mpira
Naona washwahili kama mnatengeneza mashine za kubeti basi na vita mngeweka ili muwe mna bet

Ila Mungu mkubwa kawapa kila kitu isipokuwa akili
 
Wazidungue zilishambulia tokea wapi madhara ya kuishambulia kwa ndege mia wala yasingetaka siku tatu au mbili ngoja tusubiri matokeo ila neta paka kama ndio retaliation aloahidi hii kawapiga sana watu waloamini israhell mweupe Sanaaaaaaa
 
Ndege za myahudi zimefika na mashambulizi yamefanywa na Iran imekiri peupee kuwa uharibifu umetokea
ila wewe kwa upeo wako unasema

Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

hii bila shaka itakuwa dunia ya maamumaz.
 
Mkuu, tunakutegemea sana ulete uchambuzi bora kuliko huu. You're way better than this. Halafu unatuuliza swali kweli?
 
Iran anasema wanajeshi 2 wameuawa!

Mpaka amekiri hivyo ujue kuna madhara makubwa sana huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…