Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Picha za mabaki ya Ndege za Yahudi zilizo angushwa tafadhali
 
Vita ya 2011 ya wenyewe kwa wenyewe ndio ilikua na lengo la kuchota wese na wamefanikiwa ila mashambulizi ya mara kwa Mara ni kuondoa proxy za Iran acc to israhell wamefanikiwa kwa uoni wako
Ushanielewa.

Yes ana weak proxies kabla ya kumbaraza master mwenyewe, huo ndio uoni wangu.

Tusubiri tuone, japo sifurahii vita kwa sababu zitatuathiri hadi sisi Dunia ya tatu
 
Kwenye dini yenu kusema uongo si dhambi?
Nyie mnakuwa mazombie hadi mnatufanya tuamini kuwa huko madrasa mnajifunzaga ujinga.
Tofauti yako na Lucas Mwashambwa ni ndogo sana
 
Unatumia Nguvu kuubwa kuelezea wakati wajuba wamekuja Ghetto wamepiga mtungo wamesepa mahome bila mkwaruzo.
 
...has said the damage inflicted from the attacks was minimal"...!
-Ulitaka aseme wameumizwa sana?
-wamevaliwa kwa kushtukiza au?

Sasa ulitaka aseme damage ilikuwa kuwa wakati ni ndogo?

Ulitaka aseme wameumizwa sana wakati sivyo?

Surprise? Wangeweza kuzuia uharibifu?

Tukiambiwa itakuwa surprise lethal and intense.



Lipi Moja umeliona Hapo
 
Aljazera sio? baki nayo mzee wa KOBAZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…