Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

hahahaaaa... eti hata nzi hajafa..kweli mnajifariji sana..wakati wenzenu sa ivi wako wanazika? tena hapo wamepewa taarifa kwamba wanashambuliwa na wanajeshi wamekufa..je wangepigwa kwa kushtukiza sa ivi si tungekua tunatangaza msiba wa ayatola?
 
hahahaaaa... eti hata nzi hajafa..kweli mnajifariji sana..wakati wenzenu sa ivi wako wanazika? tena hapo wamepewa taarifa kwamba wanashambuliwa na wanajeshi wamekufa..je wangepigwa kwa kushtukiza sa ivi si tungekua tunatangaza msiba wa ayatola?
Kiwanda cha silaha cha kiirani kimeharibiwa sehemu kadhaa na wafanyakazi watatu wamekufa halafu mipalestina mitumwa ya makunduchi inabwabwaja hapa JF


View: https://x.com/AlarabyTV/status/1850069191380042175?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1850069191380042175%7Ctwgr%5E3f713819aef2ce35b77b8899abadc9f8970aa56b%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Firan-says-it-has-duty-to-defend-itself-after-israeli-strikes-2-soldiers-killed%2F
 
kwa ninavowajua iran kwa kuficha taarifa hapo lazima si chini ya wanajeshi ishirini wamekufa..maana mwanzo walisema makombora yote yametunguliwa duh..
 
Sasa mkuu ndege 100+ zimevuna kipi zaidi ya kuonyesha ujuha?

View attachment 3135932

ukiona wao wamesema wamekufa wanajeshi wawili basi ujue kwamba ni zaidi ya wawili mana hakuna serikali yeyote duniani inayotoaga taarifa sahihi za vifo.. lazima watapunguza.

sasa wewe sema kwamba ni ujuha wakati wenzako sa ivi wapo wanazika..pia kumbuka makombora ya iran yalikua mia tatu na hakuna aliyekufa hata mmoja...sasa apo ndo utajua nani juha na nani ana shabaha
 
Unadungua vipi Ndege zilizopo nje ya eneo lako?. Mbona tunaona video makombora yakinduguliwa.

Israel katuangusha tulichotarajia sicho tulichoona.
 

Iran, Hezbollah, HAMAS wako kwenye rekodi kusema ukweli.

Wao hukiri yakiwakuta lakini si wasayuni.

Kwani wangesema hakufa mtu wewe ungejulia wapi?

Ila kuwa 2 kwa madege 100+ Unadhani efficiency (eta) ni % ngapi hapo ndugu?



Huyu mwamba ana hoja, asikilizwe!

Askari 2 waliokufa utaita wameshambuliwa na ndege 100+ kweli, ndugu?

Au mwenzetu umeiona wapi sense of surprise, lethal or intensity tuliyoahidiwa?

Iran hana haja ya kujibu, kwenye hili Iran kashinda na msayuni kavuna aibu!
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Hakuna ndege iliyoingia Iran,ndege zimetumia anga la Iraq,zingeingia Iran ungesikia zimepopolewa na marubani mateka
 
In April, the Iranian government denied an attack targeting Iranian air defences near Isfahan, but last week, Gen. Jafari, former commander of the Revolutionary Guards, admitted it took place, though he minimised its impact.
 
In April, the Iranian government denied an attack targeting Iranian air defences near Isfahan, but last week, Gen. Jafari, former commander of the Revolutionary Guards, admitted it took place, though he minimised its impact.

Propaganda vitani huisha?

Hudhani hiyo inaweza kuwa namna nyingine ya mijongo ya kwetu kuonyesha na wengine ni waongo kama yenyewe?

Kauwawa Hanniyeh, Nasrallah, Sinwar nk wapi uliona wakisua sua kukiri?

Usayuni goba je?
 
mwanzo h
Propaganda vitamin huisha?

Hudhani hiyo inaweza kuwa namna nyingine ya mijongo ya kwetu kuonyesha na wengine ni waongo kama yenyewe?

Kauwawa Hanniyeh, Nasrallah, Sinwar nk wapi uliona wakisua sua kukiri?

Usayuni goba je?
mwanzo kabisa alivouliwa nasralah iran walikanusha kwamba hajafa na yuko safe location...israel walivoconform iran wakanyamaza
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Hapo na mm nashangaa ndege zimeingia na kupiga afu zinatoka salama.tunashangaaje sisi kama sio kuona iran hewa tu
Umeokoteza ki takataka chako unataka kila mtu akiamini. Afu unasema tumia akili hivi unaijua akili..? Umeona israel na iran wakisema kiasi cha uharibifu. .? A u stupid...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…