Miguna kosa kubwa karejea Kenya, Lissu na Lema kunani?

Miguna kosa kubwa karejea Kenya, Lissu na Lema kunani?

Kosa la kumuapisha mtu bila ridhaa ya taasisi husika ni kosa kubwa sana !

Miguna miguna alimuapisha Odinga! Na karejea Kenya baada ya Muda mrefu kuwa Canada!

Je Kuna tishio lolote Lissu na Lema kurejea nchini? Au kuna Ujanja Ujanja Fulani ambao unawafanya kujificha kwenye kivuli cha exile ?


Britanicca

..kama Raila ambaye aliapishwa na Miguna aliendelea kuwepo Kenya, na hakuchukuliwa hatua za kisheria, maana yake ni kwamba kilichomkimbiza ,au kilichomtoa Miguna Kenya, sio kosa la kuapisha " raisi " kinyume cha sheria.
 
..kama Raila ambaye aliapishwa na Miguna aliendelea kuwepo Kenya, na hakuchukuliwa hatua za kisheria, maana yake ni kwamba kilichomkimbiza ,au kilichomtoa Miguna Kenya, sio kosa la kuapisha " raisi " kinyume cha sheria.
Yaani hawa watu mantiki ndogo tu hushindwa kuzing'amua. Yaani mtu aliyemiminiwa Risasi 38 na 16 zikampata na mpaka leo hakuna taarifa Rasmi iliyotoka kuhusu kushambuliwa kwake huko, unamlinganisha na mtu mwenye uraia pacha??
 
Kwani Lissu si alikaribishwa arudi Tz na mama,mnataka akaribishweje kwani?
 
Wakati anashambuliwa aliyemkaribisha hakuwepo Tanzania. Mpaka sasa kafanya nini kujua waliomshambulia walikuwa ni kina nani?
Wakati anashambuliwa aliyemkaribisha hakuwepo Tanzania. Mpaka sasa kafanya nini kujua waliomshambulia walikuwa ni kina nani?
Wakati anashambuliwa aliyemkaribisha hakuwepo Tanzania. Mpaka sasa kafanya nini kujua waliomshambulia walikuwa ni kina nani?
Wakati anashambuliwa aliyemkaribisha hakuwepo Tanzania. Mpaka sasa kafanya nini kujua waliomshambulia walikuwa ni kina nani?
Ulitaka kila Serikali inachokifanya ikuwekee wewe wazi?

Vitu vingine ni confidential huwezi jua hatua alizozichukua hadi akamtaka arudi nchini.

Arudi nchini au aendelee kula pesa za wanamfadhili huko alipo
 
Ulitaka kila Serikali inachokifanya ikuwekee wewe wazi?

Vitu vingine ni confidential huwezi jua hatua alizozichukua hadi akamtaka arudi nchini.

Arudi nchini au aendelee kula pesa za wanamfadhili huko alipo
Kwani wewe ni sehemu ya wafadhili wake kwamba unaona uwezo wa kumfadhili umekuishia?

Kama serikali inafanya mambo yake kwa siri mbona kushutumu ukaaji wa Lissu Ubeligiji wanafanya hadharani?

"Confidentiality" kwenye uhai wa mtu hakuna. Ni lazima useme hadharani kwamba akija utalinda uhai wake.
 
Huwezi linganisha supporters wa Raila na wa tundu au lema, uki deal na Miguna una deal na Raila. Sasa lema na tundu wana ushawishi hapa nchini kama alivyo Raila kule Kenya?

Huwezi linganisha vitu ambavyo havilingani.
Wee hata haujui kitu inaendelea Kenya kwa saa hii.

Ni kwamba Miguna Miguna sio tena Supporter wa Raila,walikwishakosana kitambo vyenye Raila alikubali
"Handshake na Uhuru" ambae alomfukuza Kenya,na hakukibali arudi tena,mpaka ameondoka.

Tangia hapo,Miguna alihamia Kambi ya "Kenya Kwanza" chini yaWilliam Samoei Rutto.

Sas hivi Miguna Miguna amekuja na project ya Rutto kuingia na kujisimika ndani ya Luo- Nyanza,kwa kumtumia huyo msaliti na mhaini, Miguna Miguna!

Na tayari Miguna alikwishatangaza hilo,tangu alipotua Nairobi akitokea huko Ughaibuni.
Na hiyo ilikuwa ile "Mashujaa Day"
Ndio maana alikuwa ameandaliwa exposure kwa kutua na kwenda moja kwa moja kwenye uwanja ilikokuwa ikiadhimishwa Mashujaa Day na Rutto akiwepo.
Baada ya hapo walikwenda wote Ikulu ya Nairobi,na mikakati zaidi inaendelea ili Rutto aweze kumdhoofisha Raila kisiasa kupitia kundi jipya la Miguna Miguna.

So.....Miguna alifukuzwa na Serikali ya Uhuru na amerudishwa na Serikali ya Rutto.
 
Kwani wewe ni sehemu ya wafadhili wake kwamba unaona uwezo wa kumfadhili umekuishia?

Kama serikali inafanya mambo yake kwa siri mbona kushutumu ukaaji wa Lissu Ubeligiji wanafanya hadharani?

"Confidentiality" kwenye uhai wa mtu hakuna. Ni lazima useme hadharani kwamba akija utalinda uhai wake.
Ahakikishiweje kwa mfano wakati Amiri Jeshi Mkuu kashamwambia arudi,nyie wafuasi wake mlitaka ahakikishiweje inawezekana mna mawazo mazuri ila kuyawasilisha ndio hamjui?
 
Ahakikishiweje kwa mfano wakati Amiri Jeshi Mkuu kashamwambia arudi,nyie wafuasi wake mlitaka ahakikishiweje inawezekana mna matakwa yenu binafsi
Wewe unajua kazi za Amiri Jeshi Mkuu? Kwani wakati anashambuliwa Tanzania kulikuwa hakuna Amiri Jeshi Mkuu??
 
Wewe unajua kazi za Amiri Jeshi Mkuu? Kwani wakati anashambuliwa Tanzania kulikuwa hakuna Amiri Jeshi Mkuu??
Amiri jeshi mkuu mpya ameshatoa maelekezo ya kumtaka arudi,mlikuwa mnatakaje kwani mbona hamsemi mnalialia tu humu?
 
Ingekuwa hivyo hata wewe si ungekuwa waliko mkuu? Jaribu angalau kidogo kuwa objective!
Pasco baada ya kutoka Dodoma akawa anawasema CCM wenzake kwa mafumbo ama kwa mzunguko!!

Ngoja siku moja apigwe KUBWA ndiyo akili zitamkaa fresh!!
 
Amiri jeshi mkuu mpya ameshatoa maelekezo ya kumtaka arudi,mlikuwa mnatakaje kwani mbona hamsemi mnalialia tu humu?
Amiri jeshi Mkuu hausiki na Ulinzi wa mali na maisha ya watu. Wapo wenye hiyo kazi. Kazi ya Amiri Jeshi Mkuu si kusema watu warudi kuna usalama.
 
Amiri jeshi Mkuu hausiki na Ulinzi wa mali na maisha ya watu. Wapo wenye hiyo kazi. Kazi ya Amiri Jeshi Mkuu si kusema watu warudi kuna usalama.
Mlitakaje?
Mbona ni rahisi tu,fungukeni
Kigugumizi kinatokea wapi?
 
Back
Top Bottom