Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Midomo hiyo ya kuwaambia wanaume "Akili hawatumii" ndio hupelekea kupigwa, na wewe ungekuwa mke wangu hapo ungepata kinachokustahili (kipigo), mmeagizwa na Mwenyezi Mungu kuwatii Waume, ukileta dharau kwa Mume kipigo halali yako.Wanaume wengi busara zenu ni nguvu akili hamtumii.....ila ujue mwanamke akiamua awe mtulivu na mdomo wake usikukere pamoja na mabaya yako anaweza kukuua anakuchekea
Endelea kuamini mimi ndo nishaandika!Zurie,naamini haumaanishi ulichoandika hapa.
Hakuna mtu asiyependa maisha mazuri ya starehe, na kila starehe ina nafasi yake katka maisha apo wala akuna cha ajabu
Kweli Kuna vipigo ukivishuhudia hadi mwili unasisimka. Nacholaumu ni hao watoto kuachwa wakishuhudia hicho kitu na bado wadogo plus mageti full time. Sidhani kama wana akili za kuweza handle hicho kituNimeshuudia wanawake wa 5 wakipigwa live huyu hajapigwa jamani kapapaswa nyie kuna wanaume wanabonda aisee, kati ya hao watano kuna mmoja nilishindwa kuvumilia angeuwawa nikavaana na mumewe mpaka leo nina ngeu kwenye jicho sababu ya kuokoa asipasuliwe bandama mi pia na hasira ila siwezi kupiga mwanamke, yani mtu anakupa utamu unampiga?! Uuajiii??!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wote tuwe malaya nyumba iitwe dangulo 😂 😂 😂 😂Umalaya tu.Wewe mke wa mtu unaenda dinner na mwanaume mwingine asiyejulikana na mumeo unaitaka ndoa kweli?
Na vitu kama hivi hutovisikia. Ushaambiwa ni mtu safi aliyekuwa provoked na umalaya wa mke. Wanaume hawanaga huruma kwenye vitu kama hivi mpaka anayepigwa awe mwanaye au dada yake na awe amepigwa hadi kukutwa na umauti.Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa
Kwahiyo anastahili kupigwa au kuachwa?Umalaya tu.Wewe mke wa mtu unaenda dinner na mwanaume mwingine asiyejulikana na mumeo unaitaka ndoa kweli?
Kama ukizingua inabidi tu upate kipigo cha mbwa koko..kiddin tuaiangalie jamaa lipoandikia tucheki source chanzo chake...hizo nyengine ni reaction tuSijasema huyo Nacky ni mtakatifu. Issue hapa ni mwanaume kumpiga mwanamke. Yani hili la huyu jamaa kumbonda mkewe mbona mnalikwepesha kwepesha kwa hoja za makosa ya mke.
Kwamba nanyi mkichepuka na kutufanyia dharau tuwakodishie wakina Mwarabu Fighter wawabonde maana nguvu hatuna?
Wewe ni KE au ME? tuanzie hapo kwanzaHATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Anastahili kichapo heavy mpk akalazwe.Kwahiyo anastahili kupigwa au kuachwa?
Naunga hoja mkono kwa 100%.Midomo hiyo ya kuwaambia wanaume "Akili hawatumii" ndio hupelekea kupigwa, na wewe ungekuwa mke wangu hapo ungepata kinachokustahili (kipigo), mmeagizwa na Mwenyezi Mungu kuwatii Waume, ukileta dharau kwa Mume kipigo halali yako.
Nafika menopause hata ndoa hamna...feminiat bana..mnajua mnachokua mnakitafuta...dawa wewe ni kukuzalisha na ukakae kwa mamako ah ahAcha wote tuwe malaya nyumba iitwe dangulo 😂 😂 😂 😂
Kuzaa ni matunda ya umalaya ata ukifa unaacha alama zako duniani, unaacha wa kukuenziN
Nafika menopause hata ndoa hamna...feminiat bana..mnajua mnachokua mnakitafuta...dawa wewe ni kukuzalisha na ukakae kwa mamako ah ah
Hao Wanaume/Baba hawapo katika sayari hii labda wa kwenye tamthilia za Wafilipino.HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Hata sijakuelewa hivi kama ...nahisi hii kitu personal kwako we ndo huyo dada nini na video za 2015 huko..nasikia clouds mmeamua peleka majesh kabisa kuamsha waliolalaKuzaa ni matunda ya umalaya ata ukifa unaacha alama zako duniani, unaacha wa kukuenzi
Akili za kuambiwa changanya na zako. Angalia video hadi mwisho, huyu mwanamke si mara ya kwanza kupigwa. Unajua kwanini?
Anajua kabisa tabia za mpigaji wake. Ndo maana alipokuwa anaondoka alimfuata nyuma sababu anamjua akishacalm down so anajua kabisa hapa “session” imeisha. Halafu mpigaji wa mara moja angeacha watoto walipoanza kulia na kurandaranda hapo ila wala hajali anawafokea.
Halafu ukitenda kosa hata kama umekuwa provoked vipi huwezi kuwa victim. Ndo maana kuna kitu kiitwacho “SELF CONTROL”. Uanaume ni pamoja na kutoyumbishwa na mkeo na maneno yake na ndicho vitabu vya dini vilichomaanisha kusema “ishi na mwanamke kwa akili” au mnadhani ni kuweza tu kuficha michepuko na kujitetea ukikutwa na SMS za mahaba?