Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Tena ni zaidi ya Mpumbavu,mtu mzima lakini anakuwa na mambo ya hovyo sana
Kama yeye ni mpumbavu basi wenda ww ni mpumbavu zaidi yake mara million.

Si bora yeye amemdhihaki mtu mmoja, lakini ww umekuwa ukidhihaki maelfu ya wanawake wenzio na watoto mpaka njiti wanao uliwa na Israel.
Acha unafiki kila binadamu anahitaji kutetewa na kuonewa huruma pale anapo onewa maana siku utakapo sinamishwa mbele ya mungu wako hatokutizama kama mtz bali atakutizama kama binadamu.
 
Hizo comments za kumtag zimekuja baadae sana wakati yeye kesharopoka maneno ya hovyo tayari.Sina uhakika na umri wako Mkuu na hata ukijibazana kwa lugha isiyo na staha kutokana na flow ya comments at least naweza assume upo in ur mid 30's inaeleweka lakini kwa mama tena mtu mzima mwenye ndoa ya zaidi ya miaka 40 kwa mujibu wa comments zake huko nyuma kwa mjadala tofauti, kushikwa na mhemko na kuanza kurusha maneno ya hovyo tena kwa Marehemu wa umri sawa na wajukuu zake inatia shaka sana utimamu wa akili yake.
Ww kwa umri wako nadhani utakuwa na watoto labda na wajukuu japo sina uhakika.
Je ni sawa unavyo shinda ukichelea vifo vya watoto kwa kuwaita magaidi? Usipende kuwahukumu wenzio hali yakuwa ww ndo mbaya zaidi.
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Faiza Fox nomba kuuliza kistarabu kabisa hivi mpaka leo Hamas hawajifunza tu kuwa Israel sio size yao kwa idadi ya vifo vya wapalestina mpaka sasa?
 
Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?

Inaumiza sana.

Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.
Itakuwa maswala ya DNA labda
 
Faiza Fox nomba kuuliza kistarabu kabisa hivi mpaka leo Hamas hawajifunza tu kuwa Israel sio size yao kwa idadi ya vifo vya wapalestina mpaka sasa?
Hata ingekuwa wewe unawekwa kambi ya mateso kwa miaka 75 ungestahamili mpaka lini?

Hao Watanzania wakatafutwe hapa kwenye mafriji. Tujiulize, ikiwa mazayuni pamoja na kulindwa mataifa yenye nguvu kubwa duniani yanashindwa kuzuwia vifo vyao, wataweza kuwalinda Watanzania wawili waliokuwa "at the wrong place at the wrong time"?

Tusiongee hisia za kijinga, tuongee uhalisia:

 

Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak, na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas. Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.

Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.

Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.

Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.

Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.

Kumbukumbu yao iwe baraka
Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.

Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.

Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.

Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.

UPDATE:
Kupitia Mtandao wa X, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amethibitisha taarifa hii.

Makamba ameandika “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma chini Israel, na ambaye tulipoteza naye mawasiliano tangu tarehe 7 Oktoba 2023, na ambaye Serikali imekuwa inafanya jitihada kubwa kupata taarifa zake tangu wakati huo, aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas mnamo tarehe 7 Oktoba 2023. Nimeongea na Mzee Mollel, baba mzazi wa Joshua, kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel.

Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na manafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada. Kwa ridhaa ya familia, na itakapobidi, tutatoa taarifa za ziada katika siku zijazo.”
Hamas ni magaidi wanatakiwa kufutwa kabisa kwenye uso wa dunia
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Wewe Mujahideen ulipokuwa unasoma Canada ulikuwa huendi disco??

Israel hakuna vita, kuna vitendo vya ugaidi.
 
Kwamba mateka wamekufa mikononi kwa Hamas wewe umejuaje?

Nilishawaambia huyu alikufa kitambo kama mwenzie kwa mtindo wa mlipuko .
Wewe umejuaje alikufa kwa mtindo wa mlipuko??
 
Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?

Inaumiza sana.

Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.
Teknolojia iliyopo Israel hakuna sehemu Africa wanakaribia hata robo yake.
 
Wewe umejuaje alikufa kwa mtindo wa mlipuko??
Hamas hawawezi kuteka mtu mweusi ni dhahiri wanajua sio muisrael maana waisrael kwao mtu mweusi ni sumu ...

Ebu soma kweny link hapo juu ndio utajua intellijensia yangu hata wao wanakubali.
 
Unadanganywa kabisa yaani mtu kauliwa oktoba 7 wabaki na mwili miezi 2!?

Kwamba israel na teknolojia inayosifiwa wafanya mawasiliano washindwe kuwatrack ili kuwakomboa ,mbona nasikia walikomboa watu kwa nusu saa .

Soma nyuzi za huyu chizi mwenzio alisema watu 200 waliokolewa [emoji28][emoji28][emoji28]..

Unaweza kusikilia maiti kama mateka.?

Hata mfungwa alihukumiwa kifungo cha maisha siku akifa basi familia yake itaambiwa na maiti itazikwa ghafla.
Mkuu ni ajabu sana mtu kuamini eti Hamas walishikilia maiti kwa miezi miwili.

Propaganda zingine za kitoto sana aise. Halafu kuna wapumbavu wanawaamini Israel.

Hawa vijana walishakufa kwenye mlipuko huko Israel tangu Oktoba 7 kwahiyo Israel anatumia Propaganda za kizamani sana ili watu wajenge chuki na Palestina.
 
Hamas hawawezi kuteka mtu mweusi ni dhahiri wanajua sio muisrael maana waisrael kwao mtu mweusi ni sumu ...

Ebu soma kweny link hapo juu ndio utajua intellijensia yangu hata wao wanakubali.
Tunaelewa kwamba adui namba moja wa Israel ni mkiristo kwahiyo huyo kijana huenda aliuliwa na Israel kama alijionesha yeye ni mkiristo maana mayahudi na ukristo ni vitu viwili tofauti.
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Sadist
 
Hata population ya pale Israel dini kubwa ni Uyahudi, ikifuatiwa na Uislamu kisha Ukristo kwa 1% pekee.
 
Wewe Mujahideen ulipokuwa unasoma Canada ulikuwa huendi disco??

Israel hakuna vita, kuna vitendo vya ugaidi.
Kwanini kuwe na vitendo vya ugaidi? Ile ni vita isiyoisha tangu 1948 kwahiyo usalama ukiwa Israel ni roho mkononi hata wao wanajua ndiyo maana wanamkumbatia USA awaongezee teknolojia ya ulinzi ili angalau wapumzike na vita.
 
Mkuu ni ajabu sana mtu kuamini eti Hamas walishikilia maiti kwa miezi miwili.

Propaganda zingine za kitoto sana aise. Halafu kuna wapumbavu wanawaamini Israel.

Hawa vijana walishakufa kwenye mlipuko huko Israel tangu Oktoba 7 kwahiyo Israel anatumia Propaganda za kizamani sana ili watu wajenge chuki na Palestina.
🤣🤣Yaani haingii akilini kabisa na waliachia watu batch ya kwanza ,ina maana kama kweli kafa maiti ingetoka batch ya kwanza wabaki nayo ya nn tena .

Hawa waisrael walikusanya maiti na kuanza kuziangalia ili kujua utambulisho wa waliokufa ,sasa wamekuja kugundua ni Mtanzania badala warudishe basi ishatokea wanaanza porojo .
 
Back
Top Bottom