Wameuliwa Tangu oktoba 7 ,eti Hamas wamechukua miili yao na kukaa nayo mpaka leo ...Huu ujinga labda asiyejua kusoma ndio anaweza kuelewa .
Yaani Hamas kukamata mateka waache wazima wachukue miili ya waliokufa tangu oktoba 7 [emoji28][emoji28][emoji28]..
Dead bodies are everywhere na zinaachwa kusambaa watu waje kuokota maiti .
Simple ni kwamba israel wameua watanzania wote wawili....walichoandika labda uwe mjinga ndio utakubali .
Yaani mtu kauliwa oktoba 7 wao Hamas washikilie miili ya hao maiti kwa miezi 2 ,ili wapate nn tena?[emoji28][emoji28]