Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Joshua Mollel: Mtanzania wa pili kuuawa aliyetekwa na Hamas​


BBC Swahili, Nairobi
TH

CHANZO CHA PICHA,JOSHUA MOLLEL
Maelezo ya picha,
Joshua Mollel aliwasili Israel mwezi mmoja tu kabla ya shambulio la Hamas

Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea taarifa kutoka serikali ya Israel kuhusu kifo cha mwanafunzi Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel na aliyetekwa nyara tarehe 7 Oktoba 2023 wakati kundi la Hamas liliposhambulia Israel.
Kupitia ujumbe wa X iliyojulikana kama Twitter hapo awali,Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema ameongea na baba ya marehemu Joshua, Mzee Mollel kuhusu ujumbe huo
Serikali imepokea taarifa au imesoma twitter ya Israel.
Nahisi kama serikali ya Israel haina uhakika na vifo au uhai wa mateka waliopo Gaza.
Na pia ukweli usemwe alikuwa mwanafunzi au mfanyakazi wa mashambani pamoja na watailand.
 
Hamas wameogopa kuwagusa wamarekani waliowateka wameua wa nchi ingine kabisa.so sad.

Yupo wapi sasa huyu Mtanzania?
 
Nadhani jitihada ilikuwa namna ya kupata mwili wa mwenzetu serikali ina ubalozi kule wangeweza shughulikia hili jambo, sasa baba, ndugu na mwakilishi wa serikali wanaenda fanya nn kama balozi na timu ya wala mema ya nchi hawakuwa na wasaa mzuri kupata mwili wa Mtanzania mwenzetu au wameenda onyeshwa kitanda alichokuwa analala. Wawakilishi wa serikali huko Israel wafanye majukumu yao si hili igizo lililotengenezwa na wizara ya mambo ya nje
 
Naona hawa vijana wetu walitumwa kufanya kazi nyingine huko Israel, yaani kweli ameenda kufuga ng'ombe wa maziwa?

Inaumiza sana.

Hiyo wizara ya nje nayo ina tatizo, inaruhusu tena mzazi kwenda kufuatilia mwili wa mwanae, wizara inafanya nini.

Huenda alikuwa anafanya part time tu kujiongezea kipato aka "kubeba boksi"
 
Kwa hiyo serikali ikilaani mauaji hayo ndio Marehemu hawa watafufuka???

Punguzeni chuki zisizo na tija!
Kama akili zako zinakutuma kufikiri hivyo basi akili zako ni ndogo.
 
Ila Tanzania tunatukuza udini kuliko utanzania wetu. Mtanzania katekwa na Hamas kauawa mikononi mwa Hamas. Mtu anawatetea Hamas na kumuona mtanzania mwenzake hafai. Aiseeh!
Ujinga ni mwingi sana.Dini zimefanya watu wazidi kua wajinga.
 
Hili suala hata kulijadili wala kusoma nyuzi nilishaacha kwani kuna majitu mapuuzi sana. Muddy kawabrqin wash sana yaani hata kujadiliana nao naona kinyaa.
 
Siku moja jielimishe, Kipindi cha Baba wa Taifa alikata ubalozi na Israel. Baba wa Taifa mwenye Kheri
Tofautisha nyakati za sasa na enzib za cold war, kwa akili zako finyu unaona Islamic terrorist wana haki ya kuwaua watanzania wasio na hatia kwa sababu ni wakristo?
 

Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak, na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas. Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.

Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.

Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.

Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.

Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.

Kumbukumbu yao iwe baraka
Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.

Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.

Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.

Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.

UPDATE:
Kupitia Mtandao wa X, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amethibitisha taarifa hii.

Makamba ameandika “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma chini Israel, na ambaye tulipoteza naye mawasiliano tangu tarehe 7 Oktoba 2023, na ambaye Serikali imekuwa inafanya jitihada kubwa kupata taarifa zake tangu wakati huo, aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas mnamo tarehe 7 Oktoba 2023. Nimeongea na Mzee Mollel, baba mzazi wa Joshua, kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel.

Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na manafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada. Kwa ridhaa ya familia, na itakapobidi, tutatoa taarifa za ziada katika siku zijazo.”
Hapa inatakiwa tutumie akili zetu vizuri sana kwa kujiuliza masuali kidogo ili tukubali kuliko kukubali kile tunachoambiwa.
  • Kwa siku zote hizo, jee HAMAS waliuhifadhi wapi huo mwili wakati hospital zote zimeshapigwa makombora.
  • Jee kuna mkataba wa hivi karibuni kati ya HAMAS na Israel wa kubadilishana maiti.
  • Hiyo maiti, Israel walikabidhiwa lini na HAMASI.
 
Ulaaniwe kabisa ww gaidi la kiislamu mna roho mbaya sn ham hamfai kuishi duniani
Tupeleke kunakofaaa
Chuki zenu dhidi ya waislam zitawafanya mufe haraka
Au mupate maradhi kama presha visukari msongo wa mawazo nk
Mwisho uislam ndio dini sahihi ambayo kila mwanaadam anatakiwa kuwa nayo kama anajipenda nakujithamini
 
Hapa inatakiwa tutumie akili zetu vizuri sana kwa kujiuliza masuali kidogo ili tukubali kuliko kukubali kile tunachoambiwa.
  • Kwa siku zote hizo, jee HAMAS waliuhifadhi wapi huo mwili wakati hospital zote zimeshapigwa makombora.
  • Jee kuna mkataba wa hivi karibuni kati ya HAMAS na Israel wa kubadilishana maiti.
  • Hiyo maiti, Israel walikabidhiwa lini na HAMASI.
Ukiona unajiuliza haya maswali mkuu basi jua unajitambua na hupo tayari kudanganywa wala kudanganyika ila kuna wale wengine sasa
Kiufupi huyo bwana kauliwa na mazayuni mazayuni mawatu wabaya sana bora ukutane na simba au mamba
 
Nimejiuliza waislamu si wanazika siku hiyo hiyo, iweje wabaki na maiti?, kazi ya kuziangalia hizo maiti watampa nani wakati wapo bize kupigana?

Anyway.

Pole wafiwa, pole Tanzania.
 
Wameuliwa Tangu oktoba 7 ,eti Hamas wamechukua miili yao na kukaa nayo mpaka leo ...Huu ujinga labda asiyejua kusoma ndio anaweza kuelewa .

Yaani Hamas kukamata mateka waache wazima wachukue miili ya waliokufa tangu oktoba 7 😅😅😅..

Dead bodies are everywhere na zinaachwa kusambaa watu waje kuokota maiti .

Simple ni kwamba israel wameua watanzania wote wawili....walichoandika labda uwe mjinga ndio utakubali .


Yaani mtu kauliwa oktoba 7 wao Hamas washikilie miili ya hao maiti kwa miezi 2 ,ili wapate nn tena?😅😅

Propaganda za kimkakati kuwapata kina mbuzi mbuzi kama huyu MK254
 
Hapa inatakiwa tutumie akili zetu vizuri sana kwa kujiuliza masuali kidogo ili tukubali kuliko kukubali kile tunachoambiwa.
  • Kwa siku zote hizo, jee HAMAS waliuhifadhi wapi huo mwili wakati hospital zote zimeshapigwa makombora.
  • Jee kuna mkataba wa hivi karibuni kati ya HAMAS na Israel wa kubadilishana maiti.
  • Hiyo maiti, Israel walikabidhiwa lini na HAMASI.

Akikujibu hyuyo pimbi utupe mrejesho mkuu
 
Back
Top Bottom