Mikasa/vituko vya lodge

We unaweza kweli kudandia lori baby?
Nadandia vizuri tu mkuu sema hio baby sasa ndio imeharibu👽!!
Kwa usafiri wa Mahenge enzi hizo hasa kipindi cha mvua barabara zilikua mbovu sana afu mabasi yenyewe ya kubip! Sometimes Ni kukaza buti tu kukwea lori hakukuwa na namna!
 
Bora wameweka lami!! Kipindi cha mvua ilikua balaaa ni mwendo wa kudandia fuso tu duh! Kitambo sana!
Kweli wewe ulipita kitambo mie nilikuwa kipande hicho 2014 mpaka 2019...mpaka mwaya kule kuna kilima kimoja matata sana...vgote vina lami....kule shida baridi sana ndio maaana watu wanakulana sana...alafu watu wa kule ngono wala sio dhambi...yaaani easy tu watu kulana mnooo yaani kuke ndio kuna kukulana kimasihara
 
Yeahhh nilipita zamani kidogo...
 
Aisee hii Tanzania kuna sehemu ni vijijini yan bado sana
 
Kule ukimwi nje nje yani!! Lile baridi sio poaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…