Nadandia vizuri tu mkuu sema hio baby sasa ndio imeharibu👽!!We unaweza kweli kudandia lori baby?
Kweli wewe ulipita kitambo mie nilikuwa kipande hicho 2014 mpaka 2019...mpaka mwaya kule kuna kilima kimoja matata sana...vgote vina lami....kule shida baridi sana ndio maaana watu wanakulana sana...alafu watu wa kule ngono wala sio dhambi...yaaani easy tu watu kulana mnooo yaani kuke ndio kuna kukulana kimasiharaBora wameweka lami!! Kipindi cha mvua ilikua balaaa ni mwendo wa kudandia fuso tu duh! Kitambo sana!
Yeahhh nilipita zamani kidogo...Kweli wewe ulipita kitambo mie nilikuwa kipande hicho 2014 mpaka 2019...mpaka mwaya kule kuna kilima kimoja matata sana...vgote vina lami....kule shida baridi sana ndio maaana watu wanakulana sana...alafu watu wa kule ngono wala sio dhambi...yaaani easy tu watu kulana mnooo yaani kuke ndio kuna kukulana kimasihara
Nakuona mdogo wanguYeahhh nilipita zamani kidogo...
Weee Antonio mii mkubwa wakoo ujue wee wajuzi juzi tuNakuona mdogo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23] Weee mtoto mlitle ujueWeee Antonio mii mkubwa wakoo ujue wee wajuzi juzi tu
Thubutuuuu.....! Mie Kijebaa[emoji23][emoji23][emoji23] Weee mtoto mlitle ujue
Aisee hii Tanzania kuna sehemu ni vijijini yan bado sanaJuzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.
NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
Kijeba kwa wengine ila kwangu u mdogoThubutuuuu.....! Mie Kijebaa
Wee jidanganye wenzio wananiita shangazi wee ndio huna adabu eeh??Kijeba kwa wengine ila kwangu u mdogo
Nakuita vp shangazi wakati nakumuduWee jidanganye wenzio wananiita shangazi wee ndio huna adabu eeh??
Unanimuduje mkuu ??? lol!!😉Nakuita vp shangazi wakati nakumudu
Alafu nyuchi zinanukia ile harufu yake natural[emoji39][emoji39]Ndio mkuu, wana chuchu konzi na mikia ya maana.
[emoji23][emoji23][emoji23] Mtu mzima wewe jiongezeUnanimuduje mkuu ??? lol!![emoji6]
Kule ukimwi nje nje yani!! Lile baridi sio poaaaa!Kweli wewe ulipita kitambo mie nilikuwa kipande hicho 2014 mpaka 2019...mpaka mwaya kule kuna kilima kimoja matata sana...vgote vina lami....kule shida baridi sana ndio maaana watu wanakulana sana...alafu watu wa kule ngono wala sio dhambi...yaaani easy tu watu kulana mnooo yaani kuke ndio kuna kukulana kimasihara
Mazingira ya baridi kali ukimwi uwa ni wa kugusaKule ukimwi nje nje yani!! Lile baridi sio poaaaa!
Wangeoga na "kujisaidia" kwenye gari!?Si ulikuwa na gari ni heri ungelala kwenye gari tu jombaa...
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Hatari tupu yaniMazingira ya baridi kali ukimwi uwa ni wa kugusa
Wee Antonio sikuhizi ndio umekua kiasi hikiii lol😂😂😁😁😁😁😁🤣![emoji23][emoji23][emoji23] Mtu mzima wewe jiongeze
Nilikaaga sana !Ulilala ?