Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.
Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.
za leo mbinde wazee wenzangu..
Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.
Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.
Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.
Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.[/QU]
Hizo zilizobakia 3 chin ndo za leo kwahyo ww cheki tu huweke hapo nimebase kwenye magol yatafika mawili na hyo nyingne mjeruman atashinda huo mkeka niliweka toka jana unaendelea leo
View attachment 165172
Mkuu nimecheza fod4 yaan nishinde timu 4 Kat ya 6 ili walau nitetee ela yangu mkuu
fold 4 ukishinda hizo nne afu uka lose mbili hela yako inarudi bila profit?
na je ukishinda tano na ukalose moja inakuaje?
mpe nigeria , ureno na ghana najua ndo watashinda otherwise all the best gamba wa lumumba.
mkuu sergey mkeka wako utaharibika leo lazima wareno washinde UJERUMANI uenda wakaaga mapema sana fainali hizi.
hahahaha kaka DUA lako limeenda kombo kaka,PEPE analeta mpira wa mtaan bana,pole kaka husipende kuwekea mkeka timu unayoipenda bal angalia uwezo wa timu na ondoa upenzi maana hii ni biashara kk
Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.
Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.