kwa risiti moja ni game zaidi ya moja na maxmum ni 5. Ila kwa risiti moja kama ni voda ni normal pekeyake na handcap peke yake. Leo nimempa atletco,auxere na fiorentina.
ahsante sana mkuu ngoja nianze kuweka mzigo
kama upo voda piga *149*19# then unachagua kuweka dau kawaida au handcap(goal diference inatakiwa iwe 2) then unacheza tena hadi zifike game5(maxmum)
unaweza cheza dau la kawaida na handcap tofauti kwa line 1 ya simu.
umeulza au? Ndio unaweza ila 4 one bet! Huwezi kuchanganya kwny mkeka m1
dijon kaniangusha 🙁
leicester, wolfburg, sevilla.,almeria, psg mkeka huo wale wenzangu wa mzigo
kweli psg huwa hawaeleweki tenah leo wapo ugeninimadrid,liverpool,man city,juvetus ,napoli. Psg ananchaniaga mkeka wangu.
liver 2& 3+
city 1&3+
madrid
napoli
everton
soton
benfica
lazio v juve A2+
nina acount yangu huko ila laptop yangu imenzngua na haka ka tecno hakawezi ingia huko! Hivi mwisho ni milioni5 per mkeka?
Jiunge ladbrokers.com upate mahela ndugu achana na meridian