Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ndugu tena leo umefuata codes zangu, si ulisema mapema mimi ni wakala!!!. Sasa hivi unaniombea ban!!!. Pole sana kwa kipigo.
Bado hujasema, utasema yote tu. Ni hatua unapitia kwenye betting, baadaye utakuwa sugu tu.
Soma sms za juu hapo uelewe utafauti wa codes za kimkakati na codes za kumvizia kanjibai.
Pole sana kwa kipigo, ushauri usifuate codes zangu ili pesa zako ziwe salama.
 
Ndugu tena leo umefuata codes zangu, si ulisema mapema mimi ni wakala!!!. Sasa hivi unaniombea ban!!!. Pole sana kwa kipigo.
Bado hujasema, utasema yote tu. Ni hatua unapitia kwenye betting, baadaye utakuwa sugu tu.
Soma sms za juu hapo uelewe utafauti wa codes za kimkakati na codes za kumvizia kanjibai.
Pole sana kwa kipigo, ushauri usifuate codes zangu ili pesa zako ziwe salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…