MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 940
- 1,573
Wakuu mwili wa mwana thread mwenzetu@z.z.rumisha aliyafariki uko Japan tarehe 01.01.204 akiwa anafanya PhD unatarajiwa kuwasiri Tanzania tarehe 18.01.2024.
Zoezi la kumuaga marehemu litafanyika DIT,tutaendelea kupeana updates ili watakao pata nafasi washiriki kumuaga mwenzetu huyu ambaye alikuwa nguli wa basketball.
Zoezi la kumuaga marehemu litafanyika DIT,tutaendelea kupeana updates ili watakao pata nafasi washiriki kumuaga mwenzetu huyu ambaye alikuwa nguli wa basketball.