Tano ni kumpa Kanji hela ya ada labda tatuNgoja Nimchangie Kanji Kwa Hiari Kabisa Ili Kesho Navyoenda Kumshangilia Mwanangu Young Africans Kwa Ushindi Wote.
Predication.
Young Africans 5 - 1 Belouizdad
Tano ni kumpa Kanji hela ya ada labda tatu
Sawa mkuuNgoja Tuone Mkuu
mkuu nauza odd odd 5 ten uchukie usichukie utajua mwenyewe we njoo pm nikuuzie oddDude, do you even know dhima ya hii thread? Eti unauza odds, wtf!
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]UTABIRI WA MECHI KATI YA ASEC MIMOSA NA SIMBA TAREHE 23 /02/2024
Siku hii jua lipo ktk nyota ya Samaki na mwezi ktk nyota ya Simba.
HALI ZA TIMU KINYOTA
Simba kinyota ni Mizani na Asec mimosa kinyota ni Punda.
Uwiano kinyota timu zote zipo sawa.
HALI ZA MAKOCHA
Kocha wa Asec mimosa ana nyota ya Simba na yule wa Simba ana nyota ya Mshale.
HALI ZA MAKIPA
MAKIPA wa Asec mimosa Wana nyota za Mbuzi isipokuwa mmoja mwenye nyota ya Samaki hivyo Kwa siku hii wapo vizuri Sana.
Kwa upande wa Simba MAKIPA wao Wana nyota za Kaa, Mashuke na n'ge Hivyo Kwa siku hii nyota ya Kaa na n'ge watafaa Sana.
MATOKEO YA MCHEZO
Mchezo huu una Kila dalili ya Sare ya goli 1-1
Au Simba kufungwa goli 2-1
Hivyo timu zote kufunga magoli jibu ni ndiyo
NINI KIFANYIKE
Kikosi Cha Simba kipangwe kulingana na Hali ya nyota Kwa siku hiyo.
Utabiri huu umezingatia nafasi ya mwezi na jua pia mipangilio ya sayari Kwa siku hiyo.
na we churaa kaa kimyaa pumbavu yanakuhusu nyokoo aya aje mwingine leo najibu oja zenu ***** mi ndio pipa aka mtu asie na akili unabishana na tahira afu unataka kujiona na wewe upo sawa.... Msisahau nauza odd leo kuna mechi kali sanaKama umekuja kuleta utapeli wako humu wa kuuuza odd tumia hizo odd ufanye betting
Ukiwa unauza odds usisahau kuuza na tako maana hapo utapata faida maradufu ya fasta.JIPANGEna we churaa kaa kimyaa pumbavu yanakuhusu nyokoo aya aje mwingine leo najibu oja zenu ***** mi ndio pipa aka mtu asie na akili unabishana na tahira afu unataka kujiona na wewe upo sawa.... Msisahau nauza odd leo kuna mechi kali sana
hahahaha nimecheka leo kumbe wana mpo serious ngoja niwashindie mawe ili niwe maarufu najua had wana mtawaambia kuna jamaa jf anaitwa pipa oya we kikaragosi tulia broo nauza odd njoo pm sio kelele ming utazan hunogi mwanaume hawi hivyo aya aje mwingineUkiwa unauza odds usisahau kuuza na tako maana hapo utapata faida maradufu ya fasta.JIPANGE