Mimi nina PM kama 3 watu wa humu humu wananiomba ela ya kula hata elfu 5, kama uwezo upo wewe saidia ila kama huwezi kaa kimya sio kuzalilisha watu.
Wanaume wanapitia changamoto kubwa sana katika utafutaji, tuwe na roho za kupendana na kusaidiana kama wanaigeria usione sifa kuwacheka wanaume wenzako na kutoa kashfa.
Narejea Mdau
Mie nimepitia changamoto nyingi mnoooo
Humu hakuna ane omba hela ya kula huku,au labda ni wewe mwenyewe unatumia accounts nyingi humu.JF zikifika kumi una Buku kumi
Maana unatetea vitu vya hovyo kabisa.
Humu pesa unayoombwa ni ya Chakula cha mcheza KAMARI yaani kubetia,sasa usione unaombwa hela ya kula unafikiria mtu anataka ya kula ni ya kucheza KAMARI
Wewe unaomba Buku huku kila siku upo online, sasa huu sikutaka ulelewe na Wanaume wenzio?
Watu wanaomba Kazi na Michongo ya Biashara sio pesa.
Sasa Asha Ngedere aombe pesa na wewe Mwanaume Badala ya kuomba Kazi unaomba Pesa.
Kama ubamikiki Sim ya laki Moja tu,basi unamtaji tayari,shida vijana wa sasa mnataka mchekea,mie Nina age 35 ila nimefanya sana Biashara ya kuuza Karanga,yaani hawa unaowaona wanauza Karanga mtaani na Mahindi,aisee huwezi kukuta wanalialia kimama hivyo,watalia kwa shida nyingine,na pia ukiwa kwenye mfumo basi ni Rahisi kusaidiwa na ulionao kwenye Biashara.
Narejea,kama umefungua account zaidi ya Moja humu JF kuomba pesa,Buku Buku hizi aisee Biashara nzuri sana, accounts 10 kw siku Buku kumi,mwezi laki 3.
Humu ukiombwa pesa ni ya kudet tuuuuuuuuu hakuna ya pesa ya Kula.
Unaomba Pesa humu,then upo online on daily status na unamiliki smart phone? Unalia njaa Mtoto wa Kiume ? Huku wenzio wapo Day worker wanapandisha Tofali saidia Fundi?
Tuache hii Mada
Leteniiii Codesssssssss