Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wazee wenzangu nimerudi tena.

Here we go...betPawa code D4A23CD
Game zinaanza saa11 jioni hii.

Chambua, punguza timu labda ila kikubwa zaidi weka pesa yakutosha na umpige muhindi...wale wakongwe wenzangu wanajua kabisa ukila njoo utoe shukrani.
 
That's logic ad hominem, you've ignored the topic and start to attack me.

Kwa akili yako ndogo nilijua utakuja na attack kwamba mimi ni muhusika wa kuomba hizo pesa.

Sijawahi ku-bet chini ya 30k kaka, sasa sijui hizo buku buku ntazifanyia nini!

Tumia umri wako vizuri, punguza ujuaji.

Dhumuni langu sio kutetea wanaomba buku za watu, bali dhumuni langu tuwe wanaume wenye koromeo la kuficha mambo madogo madogo kama haya.

Nyie ndo wale mabraza mkiombwa pesa na wadogo zenu lazima muwatangaze kwa ndugu wengine ni aibu, kuwa mwanaume jifunze ku-hold vitu.
 
singida watashuka daraja,
mwigulu anatuharibia mpira aisee
 
Anzeni kudeposit Tena wakuu.msichoke!!
we tulia.

umeshindwa kubet kwasababu ulikuwa unategemea codes. ulikuwa unasubiria wengine wachambue mechi halafu wewe ndiyo ukopi.

kwa staili ya kutegemea wengine ndiyo maana ulishindwa kubet, sasa umekuwa mtu wa kutukatisha tamaa ukiamini kwamba kwasababu wewe umeshindwa, na sisi tutashindwa.

hebu tuache, au unatamani kurudi?!. rudi tu
 
leicester[emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…