Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Haya mambo huwa hata sitaki kuyajua, nitaishia kuyasoma kwenye mabango tu
 
Inakuaje kampuni zinakuwa na uhuni mwingi game ya azamu coast imeeisha .na mi niliweka mechi iishe na goli 5 mkeka mwengine goli 6 na mwengine goli 7 lakini mpira umeisha dakika 20 zimepita kwenye mkeka ukifungua unasoma coast 1 azam 3 mara coast 1 azam 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…