Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu inachukua muda gani pesa kufika kwenye account ya M - pesa baada ya ku withdraw Sportbet
 
vyanzo vyangu vya mikeka

hilo group la FREE BET KE ni FULL DRAW hadi naogopa.. ila mikeka uhakika 85% mpk mia
Screenshot_20240816-085219.jpg
 
YAAN LEO SIMBA YANGA AZAM WANGECHEZA LAZIMA MMOJA ANGETUPA BOKO
 
Wakuu inachukua muda gani pesa kufika kwenye account ya M - pesa baada ya ku withdraw Sportbet
inategemeana na kiasi cha pesa!
chini ya 999,999 huwa zinaingia muda huo huo,
kuanzia 1m -3m zinachelewa japo haizidi siku 3 kama sijakosea!
 
wale wenye mitaji ya uhakika kama odd 2 ama tatu kila siku.
Tafuta group la soccerex FB then anguka nayo telegram..
utaona mwenyewe flow ya odds
 
Kuna mtu kajaribu kudeposit kisha akawithdraw kupitia mobile payment 1xbet?
 
Kona tuu.wape wachini wote.
Galatasaray ov 3.5
Fulham ov 2.5
Porto ov 3.5
Midtyland ov 3.5
Roya union saint ov 3.5
PSG ov 3.5

Total odds 3.2

HELA BET
MAGOLI YAMEKUA NGUMU😎😎😎
 
Msimu uliopita niliweka kiwango kama hichi na mwisho wa msimu nikawithdraw million 8 na msimu huu nimeweka hii pesa najua wengi mnabeza ila betting inahitaji hesabu Kali sana na sehemu yenye pesa lazima tufanikiwe wachache wenye kujua kupoteza na kushinda ni kawaida Mimi huwa kubeti kwangu mechi mwisho 5 kushuka chini ndio nimejiwekea huu utaratibu ukiona mtu anasema betting ngumu ujue amekurupuka sababu kama kupoteza pesa kupo tu tunachotafuta ni faida yaani lost zisizidi win yaani namaanisha winning ziwe nyingi Leo tunaenda kuanza msimu tutakutana msimu ujao mwezi kama huu hii ndio ajira yangu rasmi na imenipa pesa nyingi sana mpaka Kiwanja na msimu huu inaenda kunipa pesa za ujenzi kama haumini Sina haja ya kukuaminisha sababu hii ngoma wewe uliishindwa kuicheza hivyo hauamini kwenye kufanikiwa ukiona betting Haina faida nenda kalime uje utuuzie chakula sisi ambao tunachukua pesa kwenye betting
 

Attachments

  • Screenshot_20240816-114013.jpg
    Screenshot_20240816-114013.jpg
    362.9 KB · Views: 11
Back
Top Bottom