Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Habariwanafamilia Naomba Msaada wa Timu tani Ambazo ndio kwenye league zao ndio zinaanza na zinaonesha kuweza kushinda mechi tatu za mwanzo kwa kila league naomba timu 2 kama unawezo nayo twende sawa ndugu
 
Jaribio la kwanza kuanza msim
Ukiona mpaka Jumatatu hata single bet hujala basi Jumapili yake mbio kwa Mwamposa namie nitakuwepo

Narudi na mikeka 10
Kila mmoja hauzidi Odds 10.
Haya Mambo ya Buku ule milioni hapana kabisaa,

Wil be right back in an hour, stay tuned
Mkakati mzuri kunasubiri code tuko pamoja
 
Wapuuzi niliwapa corner over 2.5 first half
 

Attachments

  • Screenshot_20240815-204001.png
    Screenshot_20240815-204001.png
    349.9 KB · Views: 4
Pazia linaanza keshoo rasmi
Muwe makini na timu kubwa kesho zisiwaumize mkasema sijawaambia

Niko kwa wakala omar ...
 
Pazia linaanza keshoo rasmi
Muwe makini na timu kubwa kesho zisiwaumize mkasema sijawaambia

Niko kwa wakala omar ...
Kweli kabisa mpwa. Matimu bado hayajatulia kabisa. Ni bora kubet magoli, corners, bookings na vitu vingine kuliko kubet wins. Leo vipigo vinaanza kama kawaida aisee.
 
Back
Top Bottom