Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mkuu naomba uwe unatuma na code za sportybet, maana naona wadau wengi wapo huko

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Share codes bas mkuu tumle kanji
Code ya ushindi ipo kwenye post ya 2 kwenye uzi huu. Nimeanza kuitumia jana nimekula 60K safiii ila kuitoa ndiyo bado kimbembe. Nimeamua kuwekeza rasmi kwenye soka, target ya kwanza kula 50K kwa siku.
 
Mkuu matimu ya Italy na France ni pasua kichwa. Kama unabetia matimu hayo, weka 1 or 2. Au chagua cards au corners. Hayo matimu ni maquma kabisa mkuu
 
Mkuu naomba uwe unatuma na code za sportybet, maana naona wadau wengi wapo huko

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu inawezekana kabisa kutuma shida ya Sportybet ni hawana machaguo ya kutupa hela. Unakuta kampuni ya Mrusi imeanzia goli moja hata kama odd ni ndogo, Sportybet ina anza na over 2.5, mwenzake ana fouls, saves, shots on target, throw ins, yeye hana. Ndiyo maana napendelea Mrusi. Ila mara moja moja nitakuwa naleta code za Sportybet maana huwa natumia pia
 
Hiyo pesa yote uliipata baada ya kubet?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…