kwangu hizi win zinanipa nguvu ya kujaribu
Kwanza ata dp yake sizani kama jamaa mikeka ya ukweli. Una Kuta mtu ka edit kapata laki 1Alieka shilling ngap
mpira una maajabu yake mkuu acha ushabiki ,aibu unaona sasaHuu mkeka umetembea vizuri ila ungeurekebisha kidogo. Hizo timu ulizozipa zishinde ungezilinda (DC n total goals na uweke U 3.5) historia inaonyesha timu za Africa haswa za taifa game kufikisha goals zaidi ya 3 ni maajabu.
Tanzania hata jua liwake hatuwezi kuwafunga Guine wakiwa kwao.
So. Mlinde Guine na magoli yasifike ma4.
Kazi njema.
Duuh aisee Starz wamekuumbuaHuu mkeka umetembea vizuri ila ungeurekebisha kidogo. Hizo timu ulizozipa zishinde ungezilinda (DC n total goals na uweke U 3.5) historia inaonyesha timu za Africa haswa za taifa game kufikisha goals zaidi ya 3 ni maajabu.
Tanzania hata jua liwake hatuwezi kuwafunga Guine wakiwa kwao.
So. Mlinde Guine na magoli yasifike ma4.
Kazi njema.
π684C959 β½οΈ 14kodd π
π44FE20C β½οΈ 6.7Kodd π
π4866047 β½οΈ 1.3millionodd π
πA59C340 β½οΈ 800kodd π€
πD74F7F1 β½οΈ 45kodd π¦
π35AC6B4 β½οΈ3.5millionodd
Mkuu wewe endelea kutumia Sportybet. Betting ni imani. Halafu nikuulize swali? Katika mwaka mmoja Watanzania wangapi wanashinda hizo milioni 90 au milion 50 mkuu? Inapita miaka hata miwili hakuna mtu aliye shinda hiyo milion 90. Asilimia ya mtu kushinda milion 90 ni asilimia 0.0001.Mnahangaika weee hizo kampuni zenu za kirusi halafu mnalose Cha ajabu mara njia za kuweka na kutoa pesa wazitoe eti kisa option ila Kuna jamaa yupo Twitter ameshamlamba sportybet million 200 Kwa option za win na double chance tu Jana kamlamba million 90 kama kutoboa unatoboa tu hata option ya win
Pole sana endelea kupoteza mda betting ni target sio kuzunguka kwenye makampuni kutafuta option na utamaliza makampuni yote dunianiMkuu wewe endelea kutumia Sportybet. Betting ni imani. Halafu nikuulize swali? Katika mwaka mmoja Watanzania wangapi wanashinda hizo milioni 90 au milion 50 mkuu? Inapita miaka hata miwili hakuna mtu aliye shinda hiyo milion 90. Asilimia ya mtu kushinda milion 90 ni asilimia 0.0001.
Unaweza usiweke Promo Code ila mtu aneyetumia Promo Code anakuwa anapewa bonusNi lazima niweke hiyo Promo code na nisipo weke je nini kitatokea?
Mkuu wewe umeshinda milion 20 lini kwa kutumia Sportybet? Na umeanza kubeti lini? Mara ya mwisho kusikia Mtanzania ameshinda milioni 90 zaidi ya jana ni lini?Pole sana endelea kupoteza mda
Nimeona Jana jamaa kashinda milion 90 kupitia sportybet endelea kupoteza mda halafu wote wanaofuata mikeka yako wanaleta vilio humu hizo stake zako ni edit unaponza wenzio kiufupi wewe ni chawa wa kampuni za mrusiMkuu wewe umeshinda milion 20 lini kwa kutumia Sportybet? Na umeanza kubeti lini? Mara ya mwisho kusikia Mtanzania ameshinda milioni 90 zaidi ya jana ni lini?
Mkuu siyo lazima watu wafuate mikeka yangu kama vile ambavyo wewe ukipost Code yako humu siyo lazima mtu aibetie. Kuna code mamia zinawekwa humu Kila siku siyo lazima ufuate. Halafu hebu niambie ni nani anashinda kila siku kwenye betting? Au wewe mwenzangu mikeka yako hushinda kila siku?Nimeona Jana jamaa kashinda milion 90 kupitia sportybet endelea kupoteza mda halafu wote wanaofuata mikeka yako wanaleta vilio humu