Umeona jana tu ndiyo ameshinda, na kampuni ya Sportybet ina miaka mingi tu hapa. Mkuu elewa kwamba nafasi ya mtu kushinda milion 90 kwa stake ya hata 50000 ni ndogo sana, ndiyo maana hupita miaka mtu kumpiga Kanji milioni 50+Nimeona Jana jamaa kashinda milion 90 kupitia sportybet endelea kupoteza mda halafu wote wanaofuata mikeka yako wanaleta vilio humu hizo stake zako ni edit unaponza wenzio kiufupi wewe ni chawa wa kampuni za mrusi
Wewe huyo jamaa ni hatari mwezi wa nane kampiga million 70 na option ni win tu wewe na hiyo kampuni Yako yenye option nyingi umeshawahi kula hata milion 50Umeona jana tu ndiyo ameshinda, na kampuni ya Sportybet ina miaka mingi tu hapa. Mkuu elewa kwamba nafasi ya mtu kushinda milion 90 kwa stake ya hata 50000 ni ndogo sana, ndiyo maana hupita miaka mtu kumpiga Kanji milioni 50+
Bahati mbaya au nzuri huwa sitengenezi mikeka ya kushinda hizo milioni 90 au 100. Mimi huwa natafuta odds zangu 2 - 10, mara moja moja sana kunikuta natafuta milion 30Wewe huyo jamaa ni hatari mwezi wa nane kampiga million 70 wewe na hiyo kampuni Yako yenye option nyingi umeshawahi kula hata milion 50
Kwa bahati mbaya au nzuri huwa sitengenezi mikeka ya kushinda hizo milioni 90 au 100. Mimi huwa natafuta odds zangu 2 - 10, mara moja moja sana kunikuta natafuta milioni 30+.Wewe huyo jamaa ni hatari mwezi wa nane kampiga million 70 wewe na hiyo kampuni Yako yenye option nyingi umeshawahi kula hata milion 50
Poa tuonyeshe hata Salio la 10m kwenye account Yako ya mrusi Ili tuamini wewe kweli unawin maana usijekua unatumia demo account kuingiza watu Chaka hapa maana machawa wa kampuni za kirusi ndio kawaida yenuKwa bahati mbaya au nzuri huwa sitengenezi mikeka ya kushinda hizo milioni 90 au 100. Mimi huwa natafuta odds zangu 2 - 10, mara moja moja sana kunikuta natafuta milioni 30+.
Mkuu ipo zaidi ya hiyo na siyo lazima niweke hapaPoa tuonyeshe hata Salio la 10m kwenye account Yako ya mrusi Ili tuamini wewe kweli unawin maana usijekua unatumia demo account kuingiza watu Chaka hapa
Hamna kitu hapa ndio nimeamini wewe unatumia demo account kudanganya watu mwisho wanakula vichapo wanakuja kulia humuMkuu ipo zaidi ya hiyo na siyo lazima niweke hapa
Hahaha jamaa liongo sana. 🤣🤣🤣KAMBA ZIMEANZA sasa🤣🤣🤣🤣🤣
Siku kukiwa hakuna games nyingi huu ujinga ndio unatawala🤣🤣🤣
Haya endeleeni na show off
Muongo wa nini mkuu?Hahaha jamaa liongo sana. 🤣🤣🤣
mkuu usimjibu kila mtu humu..Muongo wa nini mkuu?
Tuonyeshe hata 20m kwenye account Yako ya mrusi Ili tuone kweli wewe waga unashinda na haueditMuongo wa nini mkuu?
Unaweza usiweke Promo Code ila mtu aneyetumia Promo Code anakuwa anapewa bonus
Unatumia laini gani kujisajili mkuu?Kwenye verification code inazingua, Ile code inakuja naweka lakini usajili haukamiliki nini shida?
Umeuona uongo wangu mkuu?Tuonyeshe hata 20m kwenye account Yako ya mrusi Ili tuone kweli wewe waga unashinda na hauedit
Endelea kuwingiza Chaka wajinga kwenye hiyo kampuni unayoifanyia uchawaUmeuona uongo wangu mkuu?
Umeshabadili tena mada mkuu? Mbona huna msimamo mkuu?Endelea kuwingiza Chaka wajinga kwenye hiyo kampuni unayoifanyia uchawa
Onyesha Sasa hiyo 10m Ili tukuamin sikuelewi sio unaleta mambo ya edit tupo makini sanaUmeshabadili tena mada mkuu? Mbona huna msimamo mkuu?
Basi tuishie hapa, hata nikileta halisi Utasema ni edit. Umejuaje kuwa nimeedit? Iliyoeditiwa inakuwaje na ambayo haijaeditiwa inakuwaje? Usicho jua ni kuwa kampuni ambayo unaweza ku manipulate watu kwa ku edit ni Sportybet na siyo kampuni za Mrusi.Onyesha Sasa hiyo 10m Ili tukuamin sikuelewi sio unaleta mambo ya edit tupo makini sana