Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

شعارنا نكويو شريكة 🎯🎯🎯🎯
بصحتكم خوتي🎉🎉🎉🎉🎉🤑
ماتش كان مخلص 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
غي لي مبغاش يضوبل فلوسو💲💲💲💲
Congrutakition kaboooom
 

Attachments

  • 1727644706661.jpg
    1727644706661.jpg
    56 KB · Views: 4
Jama habari ya leo🤝🏻

Mwenye kutumia Paripesa ni kwamba kwangu tuu ndiyo vodacom hawana mfumo wa kutoa pesa ama?
Kuweka wanaweka lakini kutoa naona kama hawako leo.
Je? Nikitoa kwa mtandao mwingine inangali nilisajiliaga vodacom itakubali?
 
Jama habari ya leo🤝🏻

Mwenye kutumia Paripesa ni kwamba kwangu tuu ndiyo vodacom hawana mfumo wa kutoa pesa ama?
Kuweka wanaweka lakini kutoa naona kama hawako leo.
Je? Nikitoa kwa mtandao mwingine inangali nilisajiliaga vodacom itakubali?
Screenshot_20240930-062418_1.jpg

Ndiyo Vodacom wana shida. Hata PariPesa walituma ujumbe kwa kila mmoja kwenye app kuwa Vodacom inashida. Tatizo lilianza pale juzi mtandao uliposumbua wa voda.

Walituma ujumbe huo kwa kila mtu.
 
Mimi nilifurahi dakika ya 15 alikuwa na odds 2 nikaishi naye bila kujiuliza mara 2. Matokeo yake zimetika kadi 5 1H hiyo.View attachment 3110531
Kawaida mie hizi game za hushindani huwa nacheza booking first naweka over 1.5 mara nyingi huwa odds zinaanzia 2

Option ya corner ingewekwa kwa timu za kibongo mbona ingekuwa sherehe na waamuzi wetu hawa kina Tatu Malogo kidogo wanapuliza faulo
 
Jama habari ya leo🤝🏻

Mwenye kutumia Paripesa ni kwamba kwangu tuu ndiyo vodacom hawana mfumo wa kutoa pesa ama?
Kuweka wanaweka lakini kutoa naona kama hawako leo.
Je? Nikitoa kwa mtandao mwingine inangali nilisajiliaga vodacom itakubali?
Makampuni yapo mengi hujalazimishwa kutumia acha kutusumbua watu Kila siku paripesa paripesa paripesa
 
Back
Top Bottom