Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Azam wangekujua wameshikilia hela yangu nzuri sana wangekaza wakapata bao moja tuuuuuu
 
team za spain kwenye mashindano ya uefa mwaka huu ni kuzikwepa tu......
takataka sana, sijui wanacheza utopolo gani,

jana girona, leo sociedad
 
Mi siku waweka kwenye bet slip yangu Muhimu

Nilishawiashika na odd 3 zao nikawafuata mazima na single bet
Wamepunguza faida ya bet yangu nilioshinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…