Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Kweli kabisa nilikumbuka nimeshaplace betKabisa
Na timu za Italy
Weekend nyingi zinabet
Leipzig nae tumempa over mpaka sasa ni moyaWiki hii za kichwa tu
Angalau hata katika laki 9 angesema ana laki 6 ili angalau achomoe laki aende nayo mdogo mdogo kwa mikeka ya odds 6 au 8 kwa selected team, akipigwa 50,000 anaachana na kubet ili 50,000 iliyobaki akachome nyama apate nguvu ya kutafakari pa kuipata laki 4 ya kujaziaKodi la 9, Elfu 50 huna 🤣🤣🤣
Acha KAMARI.
Utafilisika mpaka AKILI
Kamari haijawa mtatuzi sahihi wa shida za dharura,Ugonjwa wa Sonona inakuhusu
Najua matapeli Wengi mnoo wame ku PM baada ya matokeo ushkaji unaisha
Find alternatives utatue tatizo
Hongera mkuu ila bahati mbaya Chelsea ameleta za kuleta, mie hizi timu kubwa nikiona sielewi sielewi huwa nazibetia booking over 1.5 first half au corner ranges 1 - 4 first halfKuna odds saba za kufumba macho:
Madrid win
Baselona win
Chelsea win
Arsenal win
Man city win
Liverpool win
Mengine tumwachie mungu
Hahaha aloo. Chif nimekuja dm kwako naona kmyMatren yanaondoka mapema kabisa kha hata weather haijafunguka
Jana na leo hali ni ngumuyame maniliom ya wachexaji mnasikia kapewa euro kadhaa hizi ndio siju zao za marejesho kwenye timu..imagine
juv
Chelsea
Bologna
na wengineo wameingiza ngapi leo tunapambana hata na 2+ mbwa washaambizana 0-0
Spurs anapelekewa moto huko, nilitegesha goal ranges 2 - 4, naona tayari nimepigwa za uso maana ngoma ni 3 kwa 2yame maniliom ya wachexaji mnasikia kapewa euro kadhaa hizi ndio siju zao za marejesho kwenye timu..imagine
juv
Chelsea
Bologna
na wengineo wameingiza ngapi leo tunapambana hata na 2+ mbwa washaambizana 0-0
I hope hukucash outNi cashout ama nikomae hadi kieleweke?View attachment 3117133
Roma tayari kaweka chumaNi cashout ama nikomae hadi kieleweke?View attachment 3117133
Hapa ni kulala tu kujiandaa na kwenda kupambania kombe kesho aka utafutajileo moyo ulikua mzito mno kuweka mikeka,
nikajitia jeuri,......