Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kodi la 9, Elfu 50 huna 🤣🤣🤣

Acha KAMARI.

Utafilisika mpaka AKILI

Kamari haijawa mtatuzi sahihi wa shida za dharura,Ugonjwa wa Sonona inakuhusu

Najua matapeli Wengi mnoo wame ku PM baada ya matokeo ushkaji unaisha

Find alternatives utatue tatizo
Angalau hata katika laki 9 angesema ana laki 6 ili angalau achomoe laki aende nayo mdogo mdogo kwa mikeka ya odds 6 au 8 kwa selected team, akipigwa 50,000 anaachana na kubet ili 50,000 iliyobaki akachome nyama apate nguvu ya kutafakari pa kuipata laki 4 ya kujazia
 
yame maniliom ya wachexaji mnasikia kapewa euro kadhaa hizi ndio siju zao za marejesho kwenye timu..imagine

juv
Chelsea
Bologna
na wengineo wameingiza ngapi leo tunapambana hata na 2+ mbwa washaambizana 0-0
 
yame maniliom ya wachexaji mnasikia kapewa euro kadhaa hizi ndio siju zao za marejesho kwenye timu..imagine

juv
Chelsea
Bologna
na wengineo wameingiza ngapi leo tunapambana hata na 2+ mbwa washaambizana 0-0
Jana na leo hali ni ngumu
 
Ni cashout ama nikomae hadi kieleweke?
1000234044.jpg
 
yame maniliom ya wachexaji mnasikia kapewa euro kadhaa hizi ndio siju zao za marejesho kwenye timu..imagine

juv
Chelsea
Bologna
na wengineo wameingiza ngapi leo tunapambana hata na 2+ mbwa washaambizana 0-0
Spurs anapelekewa moto huko, nilitegesha goal ranges 2 - 4, naona tayari nimepigwa za uso maana ngoma ni 3 kwa 2
 
Back
Top Bottom