Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu kwema kitambo sana asee nimepigika kama pakakwenye geto la msela betting itaniuanimepoteza lucky na umakin wote niliokua nao sjui shida nn ssahz lost kwangu kama njaa hv lazima nkutane nazo sema kumbe hata huku ni Vilio bas vzur kama tupo pamoja enewer nahtaj mwenye anajua site au app ambayo inaweza nipa odds za 1.3-1.9 niseme nazo au mwenye group wanazchapa live game naomba link nipate kampani huko mana naona tayar nishavamiwa na mafwele wa betting hata sipumui n vibano tuh
 
Kanjibai anapigwa vitasa tu ya asubuhi subuhi hii 💥💥💥💥💥 pesa ya supu
 

Attachments

  • Screenshot_20241007-073730_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241007-073730_SportyBet.jpg
    199.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241007-073827_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241007-073827_SportyBet.jpg
    133.6 KB · Views: 3
Amia Gal Sport mkuu, ukikosa tim 1 wanaku refund kulingana na dau uloweka na mzigo ulosoma.
Moja kati ya mechi ngapi ..kuna kitu nataka kuwaambia ndiyo maana nimeuliza hili swali ...msije kuwa mnapishana na mizigo ya pesa ?
 
Amia Gal Sport mkuu, ukikosa tim 1 wanaku refund kulingana na dau uloweka na mzigo ulosoma.
Hao Galsport ndo huwa nawatumia karibu kila siku kwa kuwa wana option nyingi pamoja na betpawa, hapo nilikuwa nimekujibu kwa niaba ya yule uliemuuliza kama amekuwa refunded
 
Leo ndiyo ile siku iliyo andikwa kwenye maandiko ya kumwangusha kanji bai
ODDS 4153 hizo sportybet ..huku MAFWELE HUKU ABDUL kanji lazima tumkute maiti au maututi kwenye misitu ya mwagepande
SPORTYBET ODDS 4153


B8B5E1E
Da ...odds 4153 zimechana mechi 2 tu jana matreni yangu niliyo post yote ni timu 2 zimezingua kanji kapona kifo ila katoka maututi
 

Attachments

  • Screenshot_20241007-082122_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241007-082122_SportyBet.jpg
    44.5 KB · Views: 4
8 na kuendelea, lete madini mkuu.
Hapo kuna madini ya almas haswa ...kuna siku nilisikia kuwa mechi 5 au ni kampuni tofauti au wameongeza mechi kutoka 5 hadi 8 ? Ngoja baadae nitakuja na madini ya aina hiyo ya return 😁😁

NAIPA JINA .....💥💥💥7 DECOY 1 ATTACK 💥💥💥
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya vita kama russia na ukrain najua mmeni soma.
 
Jama habari ya leo🤝🏻
Ni kwangu tuu Paripesa inanitesa ama ni kwa wote😑
Tangu juzi ya tarehe 5.10.2024 saa nne ya asubuhi niliweka pesa kupitia Vodacom line na mpaka leo hii naandika hii post account iko empty.
Nisaidieni wadau wenzangu.
Na nimewapigia vodacom wakaniambia pesa imeshaenda pande ile niwasiliane nao.
Sasa mawasiliano kwao Paripesa imekuwa tabu.
Msaada wadau wenzangu tafadhali.
 
Hapo kuna madini ya almas haswa ...kuna siku nilisikia kuwa mechi 5 au ni kampuni tofauti au wameongeza mechi kutoka 5 hadi 8 ? Ngoja baadae nitakuja na madini ya aina hiyo ya return 😁😁

NAIPA JINA .....💥💥💥7 DECOY 1 ATTACK 💥💥💥
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya vita kama russia na ukrain najua mmeni soma.
Mechi 5 ni premierbet....
 
Back
Top Bottom