Ukiona over 1.5 hapo tunataka goli mbili au zaidi Ili mkeka utiki....Jamani naombeni msaada nini maana ya 3+ na 2+ streak... Pale sportybet
Sio hvo mkuu Wacha nikueleze ujue na ww , 2+ streak inamanisha goli 2 mfululizo na 3+ streak goli 3 mfululizoUkiona over 1.5 hapo tunataka goli mbili au zaidi Ili mkeka utiki....
Na over 2.5 hapo zinatakiwa goli tatu au zaidi Ili mkeka utiki...
Sasa ukiona over 2, maana yake magoli yawe zaidi ya mawili ndo mkeka utakua umetiki lakini kama magoli yataishia mawili basi hiyo bet wataicancel itasoma point 1.. kwa lugha rahisi utarudishiwa hela yako (refunded)...
Ukisema over 2+ hapo ni sawa na over 1.5 magoli yaanzie mawili kwenda juu...
3+ streak inamanisha goli tatu mfululizo, mfano ukieka man city 3+ streak ( sawa na 3 goals in a row) kama umeeka yes inatakiwa man city afunge goli 3 MFULULIZO Yani bila mpinzani kuharibu utaratibuJamani naombeni msaada nini maana ya 3+ na 2+ streak... Pale sportybet
Afu option ya draw no bet Haina cashout mzee hiyo ndo Sheria IPO kwny terms zao and conditions. Wengi tukifungua akaunti hatusomi😂 tunaclick yes tu 😂Sportybet wahuni sana jumapili cashout imefika 1m, cashout inaonekana 1M lkn ukitoa haitoki kisa nimeweka stake ndogo.
View attachment 3132819
View attachment 3132820
I read ana I accept😂🙌Afu option ya draw no bet Haina cashout mzee hiyo ndo Sheria IPO kwny terms zao and conditions. Wengi tukifungua akaunti hatusomi😂 tunaclick yes tu 😂
Ama ambavyo chelsea ya wanawake na chelsea ya watoto zilivyo motoLevel mbili tofauti usishangae u19 ya Azam au mtibwa ndo Bora hapa Tz lakini senior team mambo yako tofauti
kwa lugha rahisi ni goal in a row.3+ streak inamanisha goli tatu mfululizo, mfano ukieka man city 3+ streak ( sawa na 3 goals in a row) kama umeeka yes inatakiwa man city afunge goli 3 MFULULIZO Yani bila mpinzani kuharibu utaratibu
kwa lugha rahisi ni goal in a row.3+ streak inamanisha goli tatu mfululizo, mfano ukieka man city 3+ streak ( sawa na 3 goals in a row) kama umeeka yes inatakiwa man city afunge goli 3 MFULULIZO Yani bila mpinzani kuharibu utaratibu
Labda Mbape atafanya maajabu mkuu😂Real Madrid shame on u
2 nill for DortReal Madrid u19 vs Dortmond u19 game it reflect what will happen later , be warned
huyu jamaa... mbona anaruhusu kufanyiwa hivo....Huyu PSG vp jaman