third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
🙏🙏🙏Shukrani mkuu
Bookies hawajawahi chemka juzi barca alipewa odd 3 so utasema walichemka na hizo odd za yanga so we ukiona hivo fata kama unajiamini wao wanatumia hesabu.ww unatumia hisia.sisi tunabet na bookies nao wanabet. bookies nao wanachana sana tu. mfano mechi ya Ihefu vs. Yanga bookies wamechemka.
kinachowabeba bookies, kwenye mikeka yetu wanatafuta ichane mechi moja. sisi tunatafuta ziwin mechi zote.
🤣🤣🤣🤣YOUNG AFRICANS 💥💥💥💥👏👏👏👏👏👏
Winning Crew
Mnaotupangia idadi ya magoli ya kufunga mtachakaaa saana🤣🤣🤣
Hawa juve hawa..mwisho leo kubetia timu za italia🤣🤣🤣🤣
Kama ni hivyo hiyo option ni pesa ya bure 😁😁😁😁 mimi siku zote niliyua ni timu yoyote isipate goli 33 or more Goals in a row
Hapo inatakiwa ndani ya mchezo itokee timu ianze kufunga mfululizo bao 3 kabla mpinzani hajafunga goli
Hiyo option itakuja kuondolewa au kushushwa sana odds. Sio ngumu sanaKama ni hivyo hiyo option ni pesa ya bure 😁😁😁😁 mimi siku zote niliyua ni timu yoyote isipate gili 3
Wameshapigwa huko kimojaHaea dundee mbona kama wanakaza
Kuna jamaa alitahadharisha kuhusu hili kombe kuwa vikosi huwa vinapangwa vya kawaidaama kweli tamaa mbaya mkeka wangu wote wa odd,2000 mancity unaniharibia dah na cash imefungwa dah jaman nalala kinyonge ten limeenda
Ahahh mshasema sana hivi lakin ukiona juve vs Monza unasema monza mzembe nampa juve ashindeHawa juve hawa..mwisho leo kubetia timu za italia
Nimecheza hio city vs tot, chelsea vs newCHiyo option itakuja kuondolewa au kushushwa sana odds. Sio ngumu sana
City almost miaka yote anafanya hivo, nlimpq apate goal moja tu katoa hapa kesho naamka na ya supuKuna jamaa alitahadharisha kuhusu hili kombe kuwa vikosi huwa vinapangwa vya kawaida