Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Utasababisha watu wasiwe wana post odds humu..maana kila mtu akiwa anapost mikeka ataonekana agent wa kanji...issue kubwa kwenye kila mikeka test huyo mtu anayetuma mikeka yake huwa inatick? Ifanyie research kwanza...
Yeah ila wanaotuma na link za kujisajili ndo ma agent, odds una type tu kawaida wana tunaishi nazo
 
Lazio mapema tuh
 

Attachments

  • Screenshot_20241031_234356_Chrome.jpg
    Screenshot_20241031_234356_Chrome.jpg
    241.1 KB · Views: 5
Usiku kutaaaam

Nasubiria tu Porto apate Goal Moja nikanunue Biriyani la Mechi ya Simba

PORTO naiona live hapo hapo SPORTYBET, Madogo wamekazaa ila wanauzia tu Mechi yote anayo Porto
Screenshot_20241101-004251.png
 
Wanang naombeni treni la odds buku na kuendelea
Au kama weekend n ngumu mnipe ata la kuanzia odds miambili
Mi sjui kutengeneza wadau,
Likichana silaumu mtu
 
Back
Top Bottom