Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Madrid na Man City wamenilaza vibaya
Bado unaweka pesa yako kwa man City?! Man city an injuries kama zote hakuna namna angeweza kufanya vizuri. Nilitaka kumuua kwenye mkeka ila nikamhurumia ikabidi hiyo game niachane nayo. Vinginevyo ningekuwa nachekelea tu saii😊
 
Bado unaweka pesa yako kwa man City?! Man city an injuries kama zote hakuna namna angeweza kufanya vizuri. Nilitaka kumuua kwenye mkeka ila nikamhurumia ikabidi hiyo game niachane nayo. Vinginevyo ningekuwa nachekelea tu saii[emoji4]
Madrid naye vipi!?
 
[emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Bado unaweka pesa yako kwa man City?! Man city an injuries kama zote hakuna namna angeweza kufanya vizuri. Nilitaka kumuua kwenye mkeka ila nikamhurumia ikabidi hiyo game niachane nayo. Vinginevyo ningekuwa nachekelea tu saii😊
Shukrani kwa ushauri murua, UBARIKIWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…