Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Rejected by operator

Hiyo sababu ndio ita solve tatizo langu mkuu?
 
Natumia Airtel mkuu. Hata kama mtandao ulikuwa unasumbua siku hiyo ndo ichukue siku 17 leo?
 
Mkuu mimi ni mhanga wa Paripesa nimewithdraw mpaka Leo pesa haijafika kwenye laini yangu ya Airtel na kwenye akaunti ya Paripesa imeshatoka. Nidanganye kwa faida ya nani vile!
 
U
Unamfahamu operator wako?

Hiyo pesa mdai operator wako, haijafika paripesa.
Mkuu are serious?

Nimedeposit kupitia Paripesa halafu nianze kumtafuta nani?

Mi sija deposit kutafutana na operator, nimedeposit ilini BET na nikishinda nilipwe hela yangu...... PERIOD

Huu ujinga huukuti kwenye makampuni makini
Kama kuna shinda wanakwambia Kuna changamoto na wanafix wenyewe
 
Sahihi mkuu
 
Hivi wakuu kati ya

Chelsea win or draw 1.6
Na
Arsenal Win 2.4

Ipi ina MATUMAINI ya kutoa kwa 100k?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…