Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ok hapo nimekuelewa..

Mwanzo nilijua imegoma kwenye kuweka...

Kama ulitoa na wakakujibu hivyo basi una haki ya kulalamika maana ni wazi pesa iko kwao...

Hapo cha kufanya usichoke kuwasumbua, utaipata pesa yako...
 
hivi hizi odds za chelsea mnaziogopa?

mpe chelsea mazima, odds 3 safi kabisa!
kama unaogopa mpe DC odds 1.6 safi kabisa.....

nb
cheza single kwa win, kwa dc mpe na man u win utakua na odds 2
 
hivi hizi odds za chelsea mnaziogopa?

mpe chelsea mazima, odds 3 safi kabisa!
kama unaogopa mpe DC odds 1.6 safi kabisa.....

nb
cheza single kwa win, kwa dc mpe na man u win utakua na odds 2
Nimemfuata Aseno mazima

Instinct zangu zinaniaminisha game kama hizi Arsenal huwa wanafanyaga maajabu
 

mm toka 888starz waniibie dola 105 cjawah kuwa na imani na app hi mpy mpy tena hao ni majambaz kwa mgongo wa kamari
 
watu mnabet na kuchamba pia😂😂😂
 
toka juzi cjabet 1xbet kalimit kustake 2800 kwa option zangu za under nikajiunga paripesa nimekuta ni kile kile sion ht raha ya kubet live
 
toka juzi cjabet 1xbet kalimit kustake 2800 kwa option zangu za under nikajiunga paripesa nimekuta ni kile kile sion ht raha ya kubet live
Mkuu yaani we acha tu
Nilidhani nateseka peke yangu kwenye live

Hii ni kwa kampuni zote zinazotumia template ya 1xbet

Sasa wamepiga pini 28,700 tu 😭
 
Mkuu yaani we acha tu
Nilidhani nateseka peke yangu kwenye live

Hii ni kwa kampuni zote zinazotumia template ya 1xbet

Sasa wamepiga pini 28,700 tu

Mkuu yaani we acha tu
Nilidhani nateseka peke yangu kwenye live

Hii ni kwa kampuni zote zinazotumia template ya 1xbet

Sasa wamepiga pini 28,700 tu 😭
cjui wanashida gan imebid tu nitulie nisibet kwamaan pre game hazitabirik kabisa saiv mpira ushapoteza ladha sikuiz ni biashara na sio burudah km zaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…