Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

currently game za man u imekua ngumu sana kutoa kona over 8.5,
.......

anyway, spurs na utd wamemaliza shughuli,
ngoja nisubiri hii single niliompa chelsea mazima.........

leo siku imekua mbaya sana
 
Mkuu yaani we acha tu
Nilidhani nateseka peke yangu kwenye live

Hii ni kwa kampuni zote zinazotumia template ya 1xbet

Sasa wamepiga pini 28,700 tu 😭
Watakuwa wamepigwa sana kwa hiyo option.
 
currently game za man u imekua ngumu sana kutoa kona over 8.5,
.......

anyway, spurs na utd wamemaliza shughuli,
ngoja nisubiri hii single niliompa chelsea mazima.........

leo siku imekua mbaya sana
Mkuu nimempa man u vs mwenzie kona 9 kashjndwa toa nimemfata spurs mazima wamefungwa

Yan hao wawili tu wamenichania mkeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…