Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Toa kwa kutumia crypto mkuu jaribu USDT kadhaa ikikubari toa zoteNili deposit 50k ikafika fasta tu
Nikabet ikafika kama 600k
Nikatoa laki haijafika mpaka leo
Nikaja nikatoa tena 50k nayo haijafika hadi leo hii
Na hapo tume chat nao na kutmiana email utadhani naomba nini sijui
Balance yangu ya 400k ipo sibet wala nini hadi nihakikishe nikitoa zinatoka ndio nitatoa
Bila kusahau Betwinner,wezi wakubwa halafu email wanajibu wanavyojisikia na hakuna linaloendelea pumbavu zao.PARIPESA ni matapeli msiseme sijawaambia.
Hiyo 150,000/= kama mnavyoona nimewithdraw toka tarehe 7 leo ni siku ya sita hawajaiapprove na email wanajibu kwa kujisikia wao.
Sasa sijui ukishinda mamilioni sidhani kams wataruhusu.
View attachment 3150923
Mkuu hapo aliyesajili Bongo ni Betwinner peke yake...... huyu naye ni mbabaishaji uzuri wake ni kwamba wakikuzingua unawashitaki bodi ya kamariParipesa, megapari, helabet, 888staz, Hawa wote scammer kampuni hizi ziko chini ya waafrica wakichukua copy ya 1XBET.. hao paripesa makao makuu Yao yako Uganda.. tumia MELBET, 1XBET AND BETWINNER
Usenge wao ni kwamba njia uliodipost ndio njia utakayo fanyia withdrawalToa kwa kutumia crypto mkuu jaribu USDT kadhaa ikikubari toa zote
Betwinner msiwe na mashaka nae ni mfumo wake wa malipo ndio unaofanya vile kuna muda hali ni mbaya kama sportybet.. mifumo waliochagua ni mibaya melbet yeye anatumia selcom pay bila shaka mnaufahamu vizuri uimara selcomMkuu hapo aliyesajili Bongo ni Betwinner peke yake...... huyu naye ni mbabaishaji uzuri wake ni kwamba wakikuzingua unawashitaki bodi ya kamari
Wenzake waliokuja na kuchemka ni Helabet anapumulia mirija 22bet alifungiwa kabisa
Betwinner hawezi kufika mbali, uki deposit hela ikifika unamahukuru Mungu
Na kutoa hivyo hivyo tu
1xbet haijasajiliwa ila ukipata wakala mzuri utafurahia ila mawakala wengi ni kichefu chefu
Tatizo ni siku ukibahatisha hela ndefu ujue utapigwa na hauna pa kudai haki zako
Melbet sina historia nao ila kama hawajasajiliwa bongo yaani sio .co.tz kaanao kimachale
hi ni app gani!?ii
Hawa wanaonekana hawanantofauti na Helabet mana wao pia wamepita na 20K yangu na emails hawajibu. Mi nipenii contacts za bodi ya michezo ya kubahatisha niwashtakiPARIPESA ni matapeli msiseme sijawaambia.
Hiyo 150,000/= kama mnavyoona nimewithdraw toka tarehe 7 leo ni siku ya sita hawajaiapprove na email wanajibu kwa kujisikia wao.
Sasa sijui ukishinda mamilioni sidhani kams wataruhusu.
View attachment 3150923
Pigabethi ni app gani!?ii
Mbona megapari mi naweka na kutoa mwenyewe uyo wakala kivipMkuu naomba utaratibu na contact ya wakala wa Megapari
Nina wakala wa 1xbet msumbufu sana kuweka na kutoa
Yupo 1xbetMbona megapari mi naweka na kutoa mwenyewe uyo wakala kivip
View attachment 3150906
LUNCH TICKET ON PARIPESA π
Code: 22V5K
PariPesa
Jisajili Hapa π https://cutt.ly/hwKXFbXz
https://cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code: TIPS2424
Tumia Promo Code TIPS2424 Upate Bonus Ya 200%.
Telegramπ Kayombo Tips β½π₯ππΎπ±π
Yani hawa watoto wanaonyonya maziwa na bado wanatembea na pampasi uwawekee 1M wakati hata uchungu wa hela hawaujuiWeka milioni hapaπ utakuja kunishukuru
Nenda Google zipo mkuuHawa wanaonekana hawanantofauti na Helabet mana wao pia wamepita na 20K yangu na emails hawajibu. Mi nipenii contacts za bodi ya michezo ya kubahatisha niwashtaki