Okay sasa tulio bett inakuwaje hapoMatch suspended due to medical emergency
Kuna Mchezaji wa Fiorentina anaitwa Edoardo Bove alianguka uwanjani Hali yake ni mbaya.Kuna mchezaji kapata changamoto ya kiafya kwa mujibu wa flashscore text commentary
Mechi ya pili hii anapata sare mkeka alochana Zenit na yeye alikuwepo nisingechomokaal ahly [emoji29]
β βMuombe Man U goli over 1.5 odd 1.66
Muombe Madrid goli over 1.5 odd 1.63
Liv&City omba kona over 10.5 odd 1.8
Mfuate Spurs kwa Dc ya 1x odd 1.26
Game Chelsea No Red card odd 1.14
Jumla ODD 6+
Relax kisha agiza kinywaji chako bariiidi ili uje kunishukuru/kunilaani baadae πππ
Stake what you can afford to lose π
Mchezo utarudiwa, ila kama mchezo usiporudiwa ndani ya saa 48, utarudishiwa pesa yako na kama uliweka timu zaidi ya moja basi watapunguza odds za mchezo ulioahirishwa na kulipwa pesa za odds kwa timu ulizoshinda.Au mvua?
Okay sasa tulio bett inakuwaje hapo
Okay sawa nashukuru kwa ufafanuzi.Mchezo utarudiwa, ila kama mchezo usiporudiwa ndani ya saa 48, utarudishiwa pesa yako na kama uliweka timu zaidi ya moja basi watapunguza odds za mchezo ulioahirishwa na kulipwa pesa za odds kwa timu ulizoshinda.
Hivi hilo gori lilikubaliwa au lilikataliwa?Leo nuksi tupu. Nimebeti mikeka 5 yote Imechana timu moja.
Sasa huu wa sita imebaki 1 ya fiorentina na yenyewe ndio hivyo ten.View attachment 3166774
Litakuwa lilikataliwa maana naona vyanzo vinasema hadi mechi inaahirishwa hakukuwa na goli.Hivi hilo gori lilikubaliwa au lilikataliwa?
Hii mechi ya Inter itaoa ove 1.5 kweli maana kabakia yeye tu nichukue pesa.Okay sawa nashukuru kwa ufafanuzi.
Kuna mwamba aliweka code nyingi nyingi kule juu nikachukua nne saa zimekufa tatu ila kuna treni linakimbia sana karibu lifike Kg. Moja wapo ya hio match
β βMuombe Man U goli over 1.5 odd 1.66
Muombe Madrid goli over 1.5 odd 1.63
Liv&City omba kona over 10.5 odd 1.8
Mfuate Spurs kwa Dc ya 1x odd 1.26
Game Chelsea No Red card odd 1.14
Jumla ODD 6+
Relax kisha agiza kinywaji chako bariiidi ili uje kunishukuru/kunilaani baadae πππ
Stake what you can afford to lose π
Si imesimamishwa mkuuHii mechi ya Inter itaoa ove 1.5 kweli maana kabakia yeye tu nichukue pesa.
Unastake kiasi unaweka betOoh,poa mkuu,then whats next mkuu
Sasa mzee unataka watu waendelee kupotezaMaisha kweli yanabadirika kweli Leo Man city Leo anapitwa hakuna anaembetia dah, Yani kama hatumuoni vile,