Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Unaweza hisi umelogwa vile
 
Kucheki huku umebeti au au ukiwa umekaa kwenye tv.
Nasikia yaccine tv wanaonesha.
Ila sisi tunaobeti huwa tunaangalia hata ile michoro ya mfano wa mpira bila wasi.
Na wenyewe wameshatujua wanatuwekea hivyo hivyo.
Hapana mkuu..sijabeti..nataka tu kuangalia.
 
Dah,,,,, 🤣 🤣 🤣
 
Baka + City wamemaliza tuwasubiri kina united tayari washamchenyeta huko, kona bao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…