Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kuanzia leo hadi tatehe 24 tufanyeni msako wa hela ya Xmass kwa mtaji wa buku tujaribu kuzungusha ROLLOVER ya wastani wa odd 2, kwamana ya kwamba tucheze na odd 1.5 hadi odd 2 na point
Malengo yawe 1M+

Weka buku tu kwenye kambuni ambayo huitumii kubet kila siku halafu tuanze safari

Sio kazi RAHISI hata kidogo na inataka moyo kuvumilia kamtaji kakinona kila odd utaiona NGUMUπŸ˜‚
LAKINI kujaribu sio KUSHINDWA
Hata hivyo mbona tuna liwa tu kila siku..... why not

Humu manguli wa odd 1.5 hadi 2 wapo wengi
Leo binafsi jioni nitaanza kwa kutoa odd -2 halafu siku zinavyo kwenda wadau wengine tutashauriana tutoke vipi

Nawasilisha
 
Sijawahi ieleweke hii inachezwaje hebu leta mwongozo mkuu
 
Benficaa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-12-09-32-52-363_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    138.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-12-12-09-44-23-927_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    137.5 KB · Views: 3
Sportybet

πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅




84EF435


9333F30



πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅πŸ’΅
 
Ukifika siku ya 10 kanji analamba mtaji wote ulodunduliza kwa vumbi na jasho
Mkuu ukifika day 10 ni mafanikio makubwa mmno
Hapo uwe unajiongeza hata ukifika day 5 ukaoma inatosha unavuta hela yako

Nimewahi kwenda hadi day 9 nikavuta mkwanja wangu saafi kwa stake ya 10k

Ila mara kibao nishapigwa ama ukianza tu, au ukifika day 2 au 4 wanapitanayo

Bahati na sibu
 
Mkuu Mbona nikijaribu kukucheki pm imagination. Ningeomba Labda unicheki kwa pm
 
Mkuu nimejaribu Mara kadhaa kukucheki imagination. Ningeomba Labda unicheki kwa pm yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…