blackice2100
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,188
- 2,897
Mi nasubiri hayo masaa yao 72 ,,,, nimeshawatumia email jana wakajibu soon!! Ila mpk sasa ni zii!!!PARI PESA NI MATAPELI
PARI PESA NI MATAPELI
PARI PESA NI MATAPELI
OGOPA PARIPESA❌❌❌❌❌❌❌
Tumewakatia tamaa bure ndani ya 20 min weshatupia goli mbili kama mimi nimepa ashinde na goli mbili zipatikaneHapa ni kumwachia Mungu tu
Mkuu ulivyo comment hivi watu watasema wewe na mimi ni kitu kimoja.
Mlimwengu huyo achana naeMkuu ulivyo comment hivi watu watasema wewe na mimi ni kitu kimoja.
Marc GuluTumewakatia tamaa bure ndani ya 20 min weshatupia goli mbili kama mimi nimepa ashinde na goli mbili zipatikane
Daaah uwogopi sasa...Cyo muda sana miezi Kama minne hv mpaka SASA hv
Kila wakati tunawakumbusha kwamba kampuni zote za Mrusi jamii ya 1xbet ni BET AT YOUR RISKMnasema Paripesa matapeli, haya wale watumiaji wa betwinner kule nako vipi? Coz mobile payments wameondoa zote hadi
😀😀😀 Hizo code zinazokuliza humu mi huwa nabahatishaga wakati mwingine..vicoba nakosaje,Ila kausha damu hahahaaaDaaah uwogopi sasa...
Kwanini usifocus na vikoba plas kausha damu..
Huki muhindi hana huruma...
Wenzako hapa kuna watu wanasomesha watot wa wahindi ujue
PARI PESA NI MATAPELIMlimwengu huyo achana nae
Kwamba unasema!!!!!, umeona kikosi b ukaogopa😄 nenda kaangalie live score then uje u edit post yko.Mwenye mzigo amuue chelsea, totenham full 3+, na slavia 3+
Kwani SPORTY bety nayo ni ya Mrusi mkuu?Kila wakati tunawakumbusha kwamba kampuni zote za Mrusi jamii ya 1xbet ni BET AT YOUR RISK
Hizi kampuni zina uhuni na ubabaishaji mwingi sana
Binafsi natumi 1xbet na wakala ninaye mtumi ni ROMANO angalau unahuhakika kwenye Hizi transactions zetu za chini ya 1M
Lakini nao ukiwapiga parefu ni mtihani kulipwa hela zako
So unapo bet na hizi kampuni ujiandae kisaikolojia kwa hela yako kuchelewa au kutokufika kabisa uki deposit au withdraw
NopeKwani SPORTY bety nayo ni ya Mrusi mkuu?
😀😀😀 Hizo code zinazokuliza humu mi huwa nabahatishaga wakati mwingine..vicoba nakosaje,Ila kausha damu hahahaaa
Inamaana na wewe umeanza kumsomesha mtoto wa muhindi sio..😀😀😀 Hizo code zinazokuliza humu mi huwa nabahatishaga wakati mwingine..vicoba nakosaje,Ila kausha damu hahahaaa
Tulizeni munkari wazee, hiyo ndo maana ta kikosi kipana. Kazi mnaiona lakini?Huyu Chelshit ana masikhara na pesa zetu wakuu, kikosi gani hiki???