Tumefikia huku ngoja kesho nishone hirizi nililalie usiku nioteshwe timu za kesho yake asubuhi nilivae kiunoni🙄🙄🙄
Wachawi tupo ngoja niombe Eeh Mungu asipate ameenBraga akipata bao tu nakunja 4 Mil
Unawezaje kuomba mabaya dhidi ya mtu ambae hata kuimagine appearance ni ngumu? Anyway, na ikawe hivyo mkuuWachawi tupo ngoja niombe Eeh Mungu asipate ameen
Kumbe nyinyi watoto wa humu ni mang'ombe kweli aliekwambia kubet lazima ule nani. Juzi kati nimetuma odds zaidi ya kumi zimetoa zote hujaja kusema chochote jana kuliwa 5000 unalialia unajua mimi nimepoteza kiasi gani kwenye ile code. Na ile code imechana timu moja tu nao wametoa corner draw ukiona code nimetuma usiifate si mmezoea kuuziwa codes kule X na FB.Jamaa nimemfta pm ila afungui ngoja tuu namsaka
Nataka pesa angu bloo..Kumbe nyinyi watoto wa humu ni mang'ombe kweli aliekwambia kubet lazima ule nani. Juzi kati nimetuma odds zaidi ya kumi zimetoa zote hujaja kusema chochote jana kuliwa 5000 unalialia unajua mimi nimepoteza kiasi gani kwenye ile code. Na ile code imechana timu moja tu nao wametoa corner draw ukiona code nimetuma usiifate si mmezoea kuuziwa codes kule X na FB.
Haiwezekani vipi? Si ndio ishawezekana sasaNataka pesa angu bloo..
Mi sio wa hivo naona ulifanya vile makusudi kuniingiza mkenge...
Aiwezekani kona zitoke droo
Vipi unataka kushindana na mshana jr kuwa na post nyingi Jf?PARI PESA NI MATAPELI
PARI PESA NI MATAPELI
PARI PESA NI MATAPELI
OGOPA PARIPESA❌❌❌❌❌❌❌
Jamaa kanipiga pesa yangu sasaHaiwezekani vipi? Si ndio ishawezekana sasa
Come on united goli moja tuu pleaseMan u vipi pale
👏👏Unanipa moyo mdada mwenzangu
Muhindi kachoma udi hukoKuna mechi olyampacos na Fc Twente... nimewaomba goli 1 tu
Dak ya 9 fc Twennte kakosa penati
Dk ya 40 olyampacks kakos penati dk60 ubao unasoma 0-0
NATAKA AACHE KULETA KAMPUNI ZA KITAPELI HUMUVipi unataka kushindana na mshana jr kuwa na post nyingi Jf?
Umeweka tangu huko ulikotoka tumeona, naona sana unachofanya hapa ni kushindana na SER maana hakuna mwingine zaidi yake anaweka code za hiyo kampuni.
Inatosha ila kama ni kuwa na wewe unakuja na C&P kila page na iwe heri kwako.
Mwenzio nawaombaa kina olyampacos goli moja tu nimpige muhindi 500kCome on united goli moja tuu please