Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Stake 200,.cash out 22000.
Akishinda 60000
Nimekataa Cash out ya 65,000 kwa elfu 10,000 nikawa nasibiri 134,000 !! Baada ya team kuchanan niliyokuwa naisubiria, nikajiona mjinga Sanaa , Maanaa nikawaza biashara gani nikiwekeza elfu kumi kwa masaa itanipatia hiyo 65,000 tsh, na mpaka sasa sijaipata.

Anyway ; Kupanga ni kuchagua , Nikutakie Kila la kheri kwenye maamuzi utakayoyachukua
 
Nimekataa Cash out ya 65,000 kwa elfu 10,000 nikawa nasibiri 134,000 !! Baada ya team kuchanan niliyokuwa naisubiria, nikajiona mjinga Sanaa , Maanaa nikawaza biashara gani nikiwekeza elfu kumi kwa masaa itanipatia hiyo 65,000 tsh, na mpaka sasa sijaipata.

Anyway ; Kupanga ni kuchagua , Nikutakie Kila la kheri kwenye maamuzi utakayoyachukua
Dah ushauri mzuri,ngoja nipotezee tu kama ipo ipo tu,naona tayari anaongoza Moja,akaze asiniangushe niamke na ya supu kesho
 
Huo mguu na mshono ni msaidizi wa mhindi pia akila fwedha zako...
Hahaha! Ujue mimi bia nimesimama, sasa hili toto likasema bia halinywi linataka valeur na energy.
Kanywa moja tu chalii!

Muda huo ndio nilikuwa naye hapa mwanamboka yeye anakula na mhindi anakula mikeka, na mimi nimemla yeye.
 
Siku imekuwa nzuri
 

Attachments

  • Screenshot_2024-12-22-00-35-53-937_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    Screenshot_2024-12-22-00-35-53-937_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    145.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-12-22-00-35-27-722_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    Screenshot_2024-12-22-00-35-27-722_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    145.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-12-22-00-35-07-976_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    Screenshot_2024-12-22-00-35-07-976_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    145.2 KB · Views: 4
Issue sio kodi
Nimeku quote wewe umemjibu mdau kwamba Paripesa wameongea na serikali eti kodi watalipa wao. Ndio nika kuuliza wameongea na serikali ipi? Na kwa usajili upi?.... badala ya kujibu unaanza porojo

Speaking of ku HADAA
YES unahadaa watu hapa, hii sio mara ya kwanza kila siku unakuja na NGONJERA MPYA
Kuna siku nilikubana ukajitia unadeposi kwa Astropay siku nyingine tena ukaja na ngonjera za Bitcoin

Been in this fucking game for quite long time..... NAJUA NINACHOANDIKA
Nayajua MACHUNGU ya mkamalia ambaye kashaliwa sana hela zake halafu siku akibahatisha anaanza kusumbuliwa utadhani anaomba kazi ........ it is very very frustrating

Hao wasengë wamenidhulumu hela yangu nyingi sana, waliniambia hadi nitume picha nimeshilia vitambulisho vyangu.
Siwe kukaa kimya kuona mtu anaingizwa choo cha kike

Asilimia 99 ya watu wanaolalamika kutoa hela hapa jf ni mbwa wanaoitwa Paripesa
Mkuu umeeleza jambo ambalo napitia, nili deposit paripesa fresh tu kwa kutumia voda, nimekomaa na Mikeka kwa zaidi ya siku tatu pasipo kufikiria kutoa hela. Baada ya kuona nimepata pesa ya kutosha basi nitoe 70% ya pesa iliyokuwa kwenye account yangu, ile naenda kwenye withdrawal nakuta kuna njia moja tu ya airtel, kichwa kikapata moto.
Nikaanza kutafuta msaada lakini wapi, nimeishia kuona hela tu ipo huko but nimeshindwa kabisa kuitoa. Hawa jamaa ni mataperi, sishauri watu kutumia PARIPESA.
PARIPESA NI MATAPERI.
 
Back
Top Bottom