Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Tusisahau kubetia pesa ya kanji ...haya matreni haya aminiki sana hii nipesa ya kanji

B339AE
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-122053_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241222-122053_SportyBet.jpg
    104.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241222-122130_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241222-122130_SportyBet.jpg
    129.8 KB · Views: 2
Mkuu umeeleza jambo ambalo napitia, nili deposit paripesa fresh tu kwa kutumia voda, nimekomaa na Mikeka kwa zaidi ya siku tatu pasipo kufikiria kutoa hela. Baada ya kuona nimepata pesa ya kutosha basi nitoe 70% ya pesa iliyokuwa kwenye account yangu, ile naenda kwenye withdrawal nakuta kuna njia moja tu ya airtel, kichwa kikapata moto.
Nikaanza kutafuta msaada lakini wapi, nimeishia kuona hela tu ipo huko but nimeshindwa kabisa kuitoa. Hawa jamaa ni mataperi, sishauri watu kutumia PARIPESA.
PARIPESA NI MATAPERI.
Mkuu kama unapenda kampuni za mrusi tumia hizo hapo hazina longolongo.
Hawana kodi na wana njia za mobile payment na mawakala pia kama 1xbet.
Megapari ndio hapo han mawakala.
Screenshot_20241222-131157_One UI Home.jpg
 
Hizo code weka na Code za wanigeria oyaaaa andaa Milion utapotea kwa kuweka 100 miaa na hutakulaa hata mojaaa...!! Utapeli tuu
Unavosema utapeli je ni kwamba wanajua kwamba gemu itaishaje au, hzo code ni za mikeka iliyowekwa na wanaotumia SportyBet hata ww mkeka wako upo kule
 
Back
Top Bottom