Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Dah na Cash out faster baada ya kazi nzuri za roma na ajax

Sitaki upuuzi wa baadae wa Chelsea na Liverpool

Everton 2-1 Chelsea

Spurs 3-2 Liverpool
 
Raha ya mkeka ni kuona game za mapema zimetoa

😂

Subiri kivumbi sasa cha kuanzia saa kumi na moja ndio utajua "holiday eve is not for everybody"
 
Hizo code weka na Code za wanigeria oyaaaa andaa Milion utapotea kwa kuweka 100 miaa na hutakulaa hata mojaaa...!! Utapeli tuu
***** nina miaka miwili nafatilia code za wanaigeria sijawai hata kuambulia cash out ya elfu 5
 
yaaai huyu celtic fu****n kila siku najisahau nawaweka tena....haya mida ya kujiuliza hii tena
 
Everton imekuwa timu ngumu sana kuruhusu magoli

Wale wa Chelsea win sijui Chelsea over 1.5 poleni 😂
 
Celtic si ndo huwaga anashinda saba😂 Huwa anashinda nyingi, over 0.5 odd 1.05 kagoma
 
Kanji aliweka game ya Everton odds za 1.31 muda fulani hivi ya saa kumi

Yaani game full time itoe magoli mawili na kuendelea 😂😂😂

Kanji sio chizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…