Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ngoja nikutafutie lost nyingine ufurahie vizuri.View attachment 3186851
Umemjibu kikubwa

Yaani ana Mambo ya Kike kwenye Group la Wanaume

Sasa hata ukilost pesa si zako?

Analeta MIPASHO,tena mtu na Akili timamu unaamka unamtafuta mmoja mmoja alielost

Kuna watu Wana Lose ila resources zao za pesa zinawaruhusu kustake high,hata akichaniwa mikeka yote then anaendelea na still stable

Nafsi za Roho Dhaifu, MUNGU anachelewa sana kuzitoa

Pambana Mdau, nakubali Sana mfumo wako wa Betting,Risk taker with matches ChacheπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
SPORTYBET

Simba Optionsl ya over 1.5 wamishitoafastaaa🀣🀣🀣🀣🀣

Wameweka over 2.5,ngum kumeza

NDIO maana hizi Mechi za BONGO better Ubet siku Moja kabla

Nasubiria Young Africans ikiwekwa tu nasepa nayo mazimaaaa
 
Acha kamari kijana kupoteza hela zako ulizotafuta kwa jasho kwenye kamari ni kitu cha kijinga sana labda kama Unamrudishia kanji ulizomlaaa.
 
Mech
Tumemalizana kwa Amani leo

AZAM naanza na wewe kesho

View attachment 3185902

Kilichotokea jana kπŸ™ƒh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…