Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Na upimbi uliopo kwenye betting....ukibet ili upate hela ya usolve jambo fulani ndo unashangazwa game ya kwanza tu chali
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
eti nilimpa liver win kwa handcap ya 0:2, hapa nasonya tu.....

game inaweza kuwa droo hii
 
Sportybet Jackpot ukishinda mechi 11 unaweza ambulia sh ngapi wakuu??
 
Kuna muda odds za Liverpool kushinda ft kabla ya game zilikuwa 1.57 nikataka niweke 100k lakini roho ikasita kwani man u ndio timu inayonichania mikeka mara nyingi iwe nimeiua au nimeipa

Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…