Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Asiwadanganye mtu kanjibai analika vizuri sana ikiwa ni siku yako! Leo siku imeenda vizuri kidogo japo nimecash out mikeka mitano yote nimepata kahela si mbaya kuliko kuliwa kabisa kila siku nashukuru kwa kidogo cha leo! Ila kama ni magoli leo yametoa jamani mchawi ni sisi tu
 
Leo ilikuwa siku ya kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…