Betway saiv wameimalisha huduma zao sana ukushinda wanafanya kama sportpesa wanakutumia sms hata kama umezima data kwa njia ya kawaida kama umeshinda nakutoa pesa wako fasterNiliwahi kubeti Kupitia App ya betway, nikaweka stake vizuri Bahati nzuri mkeka ukatili. Kutoa pesa ikawa kasheshe, nilikaa kama wiki nikaona muamala wa pesa umeingia wanipa pesa.
Sikurudia Tena kubetia hiyo kampuni 🚮
Tatizo lao mhamala kusoma mpaka mechi iishe, mfano umebet over 2.5 na magoli yakapatikana mapema hapo subiri mpaka mechi iishe ndio upate sms ya kushinda na kuwekewa hela yako.Betway saiv wameimalisha huduma zao sana ukushinda wanafanya kama sportpesa wanakutumia sms hata kama umezima data kwa njia ya kawaida kama umeshinda nakutoa pesa wako faster
Hapana mbona nawao wako faster kama simba juzi nilimpa gori mbili na niliweka mechi moja gari la pili simba walivyopata hata kabda mechi kuisha wakanitumia sms ya ushindi mi ndo kampuni yangu jalibu mzee utanip mlejeshoTatizo lao mhamala kusoma mpaka mechi iishe, mfano umebet over 2.5 na magoli yakapatikana mapema hapo subiri mpaka mechi iishe ndio upate sms ya kushinda na kuwekewa hela yako.
Sportybet hawana izo pigo, wao ukiweka 3+ au 2up n.k matokeo yakipatikana hata kama game ipo dakika ya 10 mhamala wako unaingiziwa
Labda kuna option na option.. mimi nilcheza build a bet.. ile unabet options nyingi kwenye mechi moja. Mimi na mshkaji wangu jana tumecheza game ya newcastle vs brighton. Tumebet isak apige shot on target 2+ na pia game itoe yellow cards 2+. Mimi nimeweka mkeka sportybet na yeye betwayHapana mbona nawao wako faster kama simba juzi nilimpa gori mbili na niliweka mechi moja gari la pili simba walivyopata hata kabda mechi kuisha wakanitumia sms ya ushindi mi ndo kampuni yangu jalibu mzee utanip mlejesho
Noma sana mkuuWeka mbali na watoto
Hakuna tangazo hapo mkuuLipia tangazo
Ukijakubisha uje na data
Acha fix wewe. Marekani kuna kampuni kubwa zaidi: Entain, Flutter Entertainment.....Kampuni ya kubeti ya 888bet Tanzania ndio kampuni tajiri zaidi ya betting sio Tanzania tu bali hata duniani . Kampuni chini ya Port achia inamilikiwa na 888holding africa Chini ya kampuni ya Evoce Ya nchini Gilbatari
🔵Kampuni hii ilianzishwa mwaka 1997.
🔵 Mwaka 2022 walifanikiwa kununua kampuni ya Willium hill iliyoanzishwa 1934 London kwa dau la £2.2 billion
🔵 kwa mujibu wa wikipedia wanaonesha mapato ya 888holding, US$1,710.9 million (2023)
Operating income
US$33.0 million (2023)
Net income
US$(56.4) million (2023)[Websitewww.evokeplc.com
🔵 888bet Tanzania nadhani ndiyo kampuni pekee ambayo haina limiti ya ushindi yani odds utakazo weka hakuna ukomo hata ushinde Quadrilion
🔵 kampuni ya 888bet ndio kampuni pekee yenye jackpot ya bure ushindi wa zaidi ya milion 500🤣
🔵 Kampuni ya 888bet inajitangaza katika kila website kubwa kwa ndogo hata hapa jf wanajitangaza huku wakimwaga mamilion ya matangazo
Hivyo 888bet ndio kampuni tajiri zaidi kulinganisha na kampuni nyingine
Kampuni za casino hizi mkuu, nakushauri usibishane katika mada ambayo huielewiAcha fix wewe. Marekani kuna kampuni kubwa zaidi: Entain, Flutter Entertainment.....
View attachment 3257575
3 ODDS ON PARIPESA
Code👉 LVZEN
Jisajili PariPesa Hapa 👇
https://cutt.ly/hwKXFbXz
https://cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code👉 TIPS2424
Tumia Promo Code👉 TIPS2424 Upate Bonus Mara Tu Utakapo Deposit.
Kama itachezwa ndani ya saa 24 watakusubirisha mpaka ichezwe ili mmalizane.Jana katika mkeka wangu game moja haikuchezwa. Kwa sport pesa huwa inakuwaje kwa game ikiwa postponed?
Hapo safi. Mhindi anasiku ya tano sasa kawa rafiki yangu. Ananipa hela ndogo ndogo za kutumia kila sikuKama itachezwa ndani ya saa 24 watakusubirisha mpaka ichezwe ili mmalizane.
Kama ikijulikana ni zaidi ya hapo, hizo odds za hiyo timu wataziondoa kabisa watakulipa kwa zilizocheza.
Isipofika vumilia itarudishwa then fanya hivyoHii hela haipo Kwa account yangu washaikata ila haijafika kwangu mkuu....