OK mkuu sasa ukiingia kwenye deposit unakuta options 3 hizi hapa chini, ukiclick hiyo ya kwanza inakupa credit na debit options na hiyo pop up hapo chini, sina hakika kama hapa ndio tunajaza hizo info za hiyo bet card voucher, na pia hizo card tunapata wapi mkuu.
ingia kwenye ac yako kwa computer halafu bofya sehemu imeandikwa my account then itakuja window nyingune uta bofya deposite halafu pale kuna combo box chagua sports then utaona ziko optin za $ ambazo utataamua ww umenunua bet card ya bei ganu ukishaingiza zile card number una bofya deposit ni rahisi sana
Zenit kaua mikeka kama milioni mia duniani
Nimepitia comment zote huko juu sidhani kama kuna aliyekula.. Duuuhh Mi nimepumzika mpaka mechi za ligi zifike kumi na CL round ya Pili..
Kauli mbiu ni ile ile tulinde mtaji hahaha
Fuc.k Arsenal, how on earth you dare producing a straight red card in a match wakati upo unaongoza nne bila.? Yaani mitimu mingine ipo kwa ajili ya kuudhi watu tuu.
Sheenzi kabisa
siku nzuri za kubet ni ijumaa , jumamosi , jumapili, hizi za katikati ya wiki tunafossiii tu
labda makampuni atakuwa amekula, teh teh teh
makampuni ameambiwa aweke timu 3 kila siku angalau kwa siku 5 au wiki moja nzima, sijaona comment ya Boflo!
siku nzuri za kubet ni ijumaa , jumamosi , jumapili, hizi za katikati ya wiki tunafossiii tu
labda makampuni atakuwa amekula, teh teh teh
makampuni ameambiwa aweke timu 3 kila siku angalau kwa siku 5 au wiki moja nzima, sijaona comment ya Boflo!
ingia kwenye ac yako kwa computer halafu bofya sehemu imeandikwa my account then itakuja window nyingune uta bofya deposite halafu pale kuna combo box chagua sports then utaona ziko optin za $ ambazo utataamua ww umenunua bet card ya bei ganu ukishaingiza zile card number una bofya deposit ni rahisi sana
Habari wakuu, kwa Mwenye experience na kampuni mbali mbali, je ni ipi inatoa points nyingi zaidi ukishinda?
Fiorentina, Sparta prague, Dynamo kyiv, Tottenham, Internazionale, Villarreal, celtic, Borrusia M'gladbach, Sevilladaaah haka kamtaji kangu kamebaki kanakaribia kukata..natafuta 50000 tu leo naweka 10000..naombeni team za ushindi