strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Mechi zake zinanikoseshaga sana pesa..,, mechi zake zinaishaga na Red Card mara nyingi saana..,,
Red ndugu tena moja wakaona haitoshi wakaongeza nyingine ya pili..,,
Yaani ndio basi tena afadhali niachane na mechi zao kabisaa!!
Nimezitolea hizi mbili za spain zilizobaki nipate mtaji wa kesho..,,
Pole mkuu.....mimi AT madrid na hull city wameninyima laki na ushee hivi hivi kwa hayo mared card yao!! Alafu mechi za barca red card ni rahisi kutokea sababu washambuliaji kama messi na neymar, akiwa na mpira mguuni kumtoa ni shida kidogo So wapinzani hujikuta wamewachezea madhambi!