Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Habari wakuu, hivi wire inakuwaje yaani nashindwa kuelewa maana ya 1.5 goals, au 2.5 inamaanisha nini
sawaaa....namtoa......
Jamani mie wamenipa bonus ila naogopa itumia maana ikisha ndo basi tena niko mbali na hao meridian
mpe yote chelsea
kama kawaida mzee wa Red nimeingia tena
Game za Seria A,La liga,Ligue 1 mpaka za saa kumi na mbili nimeweka Red mkiona red mjue nishaumia. (Sijaweka Epl hata moja)
Jana mbet nimewaliza cap ya barca na city 25000 ikatoa 19800 nasubiri wanitumie nijilipue tena man u inverness udinese
Kuna mkeka kichaa nimewapa kona zaidi ya kumi Man U na Everton.